Category: Kimataifa
Vigogo 12 wachunguzwa vurugu Afrika Kusini
JOHANNESBURG, AFRIKA KUSINI Idara ya Upelelezi nchini Afrika Kusini imetangaza kuwa imewagundua watu 12 waliohamasisha maandamano yaliyosababisha vurugu na uporaji katika majimbo mawili makubwa nchini humo. Vurugu hizo zilianza baada ya Mahakama ya Katiba kumhukumu rais wa zamani wa nchi…
NGO yapinga Zimbabwe kupeleka tembo China
HARARE, ZIMBABWE Shirika lisilo la kiserikali nchini Zimbabwe limeishitaki serikali ya nchi hiyo kupinga mipango ya kusafirisha wanyama aina ya tembo kwenda China. NGO hiyo, Advocates4Earth, inaituhumu China kwa kuwasababishia tembo madhila kwa kutowapatia huduma stahiki. Katika kesi iliyoifungua katika…
Kifungo cha Zuma hakijaathiri sarafu
JOHANNESBURG, AFRIKA KUSINI Baadhi ya wataalamu wa uchumi walitabiri kuwa huenda thamani ya sarafu ya Afrika Kusini ikaathirika kwa kiasi kikubwa baada ya kiongozi wake wa zamani, Jacob Zuma, kujisalimisha polisi na kuanza kutumikia kifungo chake cha miezi 15 gerezani….
Wimbi jipya la corona majanga kwa Japan
TOKYO, JAPAN Japan imetangaza hatua za tahadhari baada ya kuibuka wimbi jingine la maambukizi ya virusi vya corona. Nchi hiyo imetangaza kutenga kiasi cha yen trilioni moja (dola bilioni 9.1 za Marekai) kukabiliana na wimbi hilo. Hatua hiyo ya serikali…
Mwisho wa Netanyahu kisiasa?
TEL AVIV, ISRAEL Mwamba wa kisiasa wa Israel umeanguka. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Benjamin Netanyahu kushindwa kutetea nafasi yake ya uwaziri mkuu nchini humo. Netanyahu amedumu katika nafasi hiyo kwa kipindi kirefu kiasi cha kuonekana kuwa kioo cha Serikali…
NATO yaionya China
BRUSSELS, UBELGIJI Jumuiya ya NATO imetoa onyo kali kwa China dhidi ya harakati zake za kujiimarisha kijeshi lakini ikasema kauli yake hiyo haimaanishi kuwa ipo tayari kuingia kwenye vita baridi na nchi hiyo ya Mashariki ya Mbali. Wakizungumza katika kikao…