JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

RAIS TRUMP AZIDI KUANDAMWA

WASHNGTON, MAREKANI Seneta wa Chama cha Republican nchini Marekani, Jeff Flake, amemkosoa vikali Rais Donald Trump kwa matamshi yake ya mara kwa mara yanayoonekana kuvishambulia vyombo vya habari . Akizungumza katika Baraza la Seneti nchini humo, amesema kiongozi aliyeko madarakani anapokuwa na mazoea…

DAKTARI WA WHITE HOUSE ATHIBITISHA KUWA RAIS TRUMP HANA TATIZO LA AKILI

Rais Trump hajaonyesha dalili zozote za matatizo ya kiakili kufuatia uchunguzi wa kiafya na yuko la afya nzuri, daktari wa White House amesema. “Sina wasi wasi wowote kuhusu afya ya akili ya Trump,” Ronny Jackson alisema Jumanne. Wiki iliyopita Trump…

KIONGOZI WA UPINZANI NCHINI ETHIOPIA AACHIWA HURU

Serikali ya Ethiopia inasema imemuachilia mwanasiasa maarufu wa upinzani baada ya zaidi ya mwaka mmoja kizuizini. Kuachiliwa kwa Merera Gudina mkuu wa chama cha Oromo Federalist Congress, kunafanywa kama sehemu ya jitihada ya kutafuta uwiano wa kitaifa. Siku ya Jumatatu…

MATAMSHI YA TRUMP YASABABISHA BALOZI WAKE KUACHIA NGAZI PANAMA

Balozi wa Marekani nchini Panama amejiuzulu kwa sababu anasema kuwa hawezi tena kuhudumu chini ya utawala wa rais Trump. John Feely ,rubani wa ndege wa jeshi la wanamaji alisema kuwa ilikuwa na heshima kubwa kwake kujiuzulu. Idara ya maswala ya…

Umoja wa Afrika Yamtaka Trump Kuomba Radhi kwa Matamshi Yake

Umoja wa Afrika unasema matamshi ya yanayodaiwa kutolewa na rais wa Marekani Donald Trump kuhusu bara la Afrika ni wazi kwamba ni ya ubaguzi wa rangi. Msemaji wa umoja huo , Ebba Kalondo, amesema toni la matamshi hayo lilikera hata…

Nchi 6 Zinazoongoza Kuwa na Majengo Marefu Duninia

1. Falme za Kiarabu Nafasi ya kwanza inashika na falme za kiarabu ambapo kuna jengo lefu kuliko yote duniani ambalo lipo kwenye jiji Dubai na Linaitwa Burj Khalifa. 2. China Nafasi ya pili inashika na China ambapo kuna jengo lefu…