JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Kesi ya kumuondoa madarakani rais wa Korea Kusini aliyesimamishwa kazi yaanza kusikilizwa

Mahakama ya kikatiba ya Korea Kusini imefanya kikao chake cha kwanza kuamua iwapo Rais aliyesimamishwa kazi Yoon Suk Yeol aondolewe madarakani baada ya jaribio lake la kushtukiza la kutekeleza sheria ya kijeshi mwezi uliopita. Hata hivyo kikao hicho kiliisha ndani…

Wanaume wa Kihindu waliopakwa majivu waongoza ibada ya kuoga India

Wanaume watakatifu wa Kihindu waliopakwa majivu waliingia kwenye mto mtakatifu zaidi wa India wa Ganges alfajiri ya siku ya kwanza ambayo ni muhimu katika ibada ya kuoga ya sikukuu ya Kumbh Mela kwenye Jiji la (askazini la Prayagraj. Waumi hao…

Rasimu ya mwisho ya kusitisha vita vya Gaza yatolewa

Wapatanishi wa mzozo wa Israel na Hamas, ambao ni Marekani, Qatar na Misri wametoa rasimu ya mwisho ya makubaliano ya kuvimaliza vita huko Gaza leo Jumatatu. Hayo yamesemwa na maafisa kwa shirika la habari la Reuters. Mazungumzo hayo yaliozusha mjadala…

Idadi ya waliofariki kwa moto wa nyika Marekani yafikia 24

Idadi ya watu waliokufa kutokana na moto wa nyika ulioanza tangu Januari 7 huko Los Angeles Marekani imefikia 24. Mwishoni mwa juma wafanyakazi wa zimamoto walipata ahueni baada ya hali tulivu ya hewa. Mamlaka katika eneo hilo zimeonya kuwa moto…

Wazima moto wapambana kuzuia moto mkubwa Los Angeles

MAELFU ya watu waliolazimika kuondoka katika makaazi yao kutokana na moto mkubwa mjini Los Angeles, Marekani hawatarejea kwenye makaazi yao kwa angalau siku nne zijazo. Mkuu wa kikosi cha zima moto wa Los Angeles Anthony Marrone amesema upepo mkali unaovuma…

Kisiwa cha Mayotte kukabiliwa na kimbunga kipya Jumamosi

Kimbunga Chido kilisababisha uharibifu mkubwa, na kuua watu wasiopungua 39 na kujeruhi wengine zaidi ya 5,600 katika kisiwa hicho ambacho kinakaliwa na Ufaransa mashariki mwa Afrika. Wakazi wa kisiwa cha Mayotte wanajiandaa kwa dhoruba ya upepo mkali na mvua kubwa…