Category: Kimataifa
Vifo tetemeko la Myanmar vyafikia 2000
Waokoaji wamemuokoa mwanamke mmoja aliyefunikwa na kifusi kwenye jango la hoteli moja lililoporomoka nchini Myanmar, maafisa walisema siku ya Jumatatu. Mwanamke huyo amekaa siku tatu baada ya tetemeko kubwa la ardhi lililosababisha vifo vya watu karibia 2,000 huku waokoaji nchini…
Trump akasirishwa na Rais Putin
DONALD Trump amesema kuwa ana “hasira kubwa” na “amechukizwa” na Rais wa Urusi, Vladimir Putin, baada ya wiki kadhaa za majaribio ya kusitisha mapigano nchini Ukraine. Katika mahojiano na NBC News, rais huyo wa Marekani alisema anakerwa na Putin kwa…
Iran italipiza kisasi ikiwa itashambuliwa na Marekani
Kiongozi mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei amesema Marekani itapata pigo kubwa ikiwa itatekeleza tishio la kuishambulia kwa mabomu Iran ikiwa haitafikia makubaliano mapya ya nyuklia na Marekani. Kiongozi huyo mkuu wa Iran amesema ikiwa Marekani inafikiria kuleta uchochezi ndani…
Watu zaidi ya 1,000 wafariki kwa tetemeko la ardhi Myanmar
MAMLAKA nchini Myanmar imesema leo kwamba tetemeko kubwa la ardhi limewaua zaidi ya watu 1,000 na kuwajeruhi wengine zaidi ya 2,300 huku makumi ya wengine wakiwa hawajulikani walipo. Mamlaka nchini Myanmar imesema leo kwamba tetemeko kubwa la ardhi limewaua zaidi…
Wimbi jipya la mashambulizi ya Israel laua watu 921 Gaza
Wizara ya afya katika Ukanda wa Gaza inayodhibitiwa na kundi la Hamas imesema leo Jumamosi kwamba watu 921 wameuawa katika eneo la Palestina tangu Israel ilipoanzisha wimbi jipya la mashambulizi mnamo Machi 18 mwaka huu. Wizara ya afya katika Ukanda…
Moto mkubwa wa msituni wauwa watu 24 Korea Kusini
Moto mkubwa wa misituni unaoendelea kwa siku ya tano mfululizo katika maeneo ya kusini mashariki mwa Korea Kusini umesababisha vifo vya watu 24. Maafisa wamesema zaidi ya watu 27,000 wamelazimika kuhamishwa. Rais wa mpito wa nchi hiyo, Han Duck-soo, amesema…