JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Ujenzi kituo kipya cha utafiti wanyamapori nyanda za juu kusini kuanza rasmi Iringa

na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Iringa Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI) inaendelea kupanua wigo wa tafiti za wanyamapori kwa ustawi wa uhifadhi na kukuza utalii nchini ambapo, tarehe 13 Aprili 2024 zoezi la utiaji saini nyaraka za makabidhiano ya…

Rais Dk Mwinyi: Tuulinde Muungano na tuudumishe

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema ni wajibu kuulinda Muungano, kuuendeleza, kuudumisha na kuimarisha zaidi ili kuzidi kunufaika kwa dhamira ile ile ya Waasisi wa Taifa letu. Rais Dk.Mwinyi ameeleza kuwa umoja wa…

JUMIKITA yalaani vikali matusi mitandaoni

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jumuiya ya Wanahabari wa Mitandao ya Kijamii Tanzania (JUMIKITA) imelaani vikali tabia mpya na mbaya inayofanywa na baadhi ya watu wasio waadilifu kutumia mitandao ya kijamii kutukana viongozi wa kiserikali ikiwemo Mhe Raia…

DAWASA yawafariji wagonjwa wa saratani Ocean Road, Amana

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imeunga mkono jitihada za Serikali katika kuchangia matibabu ya wagonjwa wa saratani katika Taasisi ya Saratani na Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana. Akizungumza wakati wakukabidhi misaada mbalimbali kwa…

Dk Jafo : Wananchi pande mbili za muungano wameunganishwa na lugha adhimu ya Kiswahili

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMeda, Zanzibar Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amesema miongoni mwa sababu za Muungano wa Tanzania ni udugu wa damu kati ya wananchi wa Tanzania Bara na Zanzibar….

Serikali yatoa milioni 216/- kuhudumia wahanga wa mafuriko Rufiji, Kibiti na Morogoro

Na Georgina Misama – MAELEZO Serikali kupitia Wizara ya Afya imetoa dawa na vifaa tiba vyenye thamani ya Shilingi 216, 715, 516 kwa ajili ya kuhudumia wahanga wa mafuriko waliokusanyika kambi mbalimbali katika maeneo ya Rufiji na Kibiti mkoani Pwani…