JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Anayepata Sh milioni 168 kwa  siku amtishia maisha mbunge 

GEITA Na Antony Sollo  Siku chache baada ya Mbunge wa Sengerema, Khamis Tabasamu (CCM), kuanika kisa cha kutishiwa kuuawa, ni vema tukatafakari kwa kina sababu za kutokea hali hiyo. Akiwa bungeni wiki iliyopita wakati akichangia Bajeti ya Wizara ya Nishati,…

Vijana ni nguvu ya taifa

Taifa lolote duniani linajengwa na nguvu kubwa ya vijana. Wao ndio kundi kubwa na pana katika shughuli za kila siku za binadamu.  Ingia katika fani yoyote utakutana na vijana. Rika hii muhimu inaanzia katika umri wa miaka saba hadi thelathini…

Yah: Hapa ndipo tumefika

Kuna wakati niliwahi kuandika waraka nikauliza baadhi ya maswali ambayo nilidhani waliosoma wangesema hili tulijadili kidogo badala ya kupita kimyakimya.  Haikuwa hivyo, na kwa kweli ninaendelea kuumia sana kwa sababu sioni mahali ambapo tunasisitiza kuacha majungu. Badala yake tunatafuta namna…

Sabaya gumzo

*Arusha yasisimka, mageti yakifungwa mahakamani *Wananchi wadai mkoa una nuksi ya viongozi vijana *Wadaiwa kuwaangusha waliowaamini, ni masikitiko *Uvumi Makonda kukamatwa watawala mitandaoni ARUSHA Na Hyasinti Mchau Kesi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai ole Sabaya,…

Soko la Chifu Kingalu ni ‘bomu’

*Vibanda zaidi ya 200 vyafungwa kwa miezi sita *Biashara yadorora, kisa? Malumbano na Manispaa  Morogoro Na ALEX KAZENGA Kutokuaminiana kati ya baadhi ya wafanyabiashara wa Soko Kuu la Chifu Kingalu na uongozi wa Manispaa ya Morogoro kunatajwa kuwa tishio kwa…

Simbachawene: La Uhamiaji mmepotoshwa

*Wakili Madeleka auliza maswali magumu DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene, amezungumza na Gazeti la JAMHURI na kusema suala la Uhamiaji kutoa visa feki gazeti limepotoshwa na mtoa habari. Waziri Simbachawene ameliambia JAMHURI…