JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Askofu atimuliwa na sadaka yake

MBINGA Na Mwandishi Wetu Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kusini (DKU), Dk. George Fihavango, pamoja na ujumbe wake wamefukuzwa na kukataliwa kuingia nyumbani kwa mmoja wa waumini wa kanisa hilo, Leonard Myalle; JAMHURI limeshuhudia….

Anaswa kwa wizi wa vitendanishi

TABORA Na Benny Kingson Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) Kanda ya Magharibi imemkamata mtumishi wa Kituo cha Afya wilayani Kaliua, Maila Mdemi, kwa tuhuma ya wizi wa vitendanishi. Maila ni mmiliki wa Duka la Dawa la Nansimo ambalo…

Neno ‘kustaafu’ nalo ni tatizo!

Joe Beda Rupia Kustaafu ni kama kifo. Ndiyo. Ukianza kazi siku ya kwanza tu, unaanza safari ya kustaafu. Hakika utastaafu na neno hili linaweza kuwa chanzo cha tatizo. Sawa. Kwa wiki mbili zilizopita nimekuwa nikiandika tanzia; kwanza ya Jenerali Tumainiel…

Mke kutoa matunzo kwa mume likoje kisheria?

Na Bashir Yakub Kisheria ndoa inapokuwa imefungwa kuna haki za msingi ambazo huibuka. Hizi huitwa haki za moja kwa moja (automatic right).  Huitwa haki za moja kwa moja kwakuwa hazina uhiari katika kutekelezwa kwake.  Kuwapo kwa ndoa ndiko kuwapo kwake, hivyo haihitaji mtu kuziomba. Kimsingi haki hizi zipo nyingi, ambapo tutaona baadhi yake hapa, huku makala ikijikita katika haki moja ya matunzo kwa wanandoa.          1. Baadhi ya haki zinazoibuliwa na ndoa                               (a) Haki ya tendo la ndoa.  Hii ni haki ya lazima kwa wanandoa na kutokuwapo kwake kunaweza kubatilisha ndoa iwapo mmoja wa wanandoa ataamua kufanya hivyo. Ni haki ambayo huchukuliwa kama ndiyo ndoa yenyewe, hivyo kuifanya kuwa na umuhimu wa pekee. ( b ) Haki ya kutumia jina la mume. Hii  ni haki aliyonayo mwanamke ambapo anaruhusiwa kutumia jina…

BAJETI 2021/22 Prof. Ngowi, vyama wachambua bajeti

DAR ES SALAAM Na Waandishi Wetu Wachambuzi wa masuala ya uchumi nchini wameunga mkono bajeti iliyosomwa bungeni wiki iliyopita, ila wameeleza maeneo yanayohitaji ufafanuzi ili kuondoa wasiwasi wa wananchi. Wamezungumzia hoja ya serikali kutaka ipanue wigo wa ukusanyaji kodi. Profesa…

Rais Samia mwokoe aliyebambikiwa mauaji

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Ndugu wa mmoja wa mahabusu aliyepo katika Gereza la Keko anayetuhumiwa kwa kesi ya mauaji, Saidi Hamisi Lubuva, wameangua kilio ndani ya ofisi za gazeti hili wakati wakihadithia madhila anayokumbana nayo. Hali hiyo imetokea…