JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Hatuhitaji wageni kutulisha mafuta ya kula

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu  Jioni ya Ijumaa Juni 18, 2021 nilitazama televisheni za nchini kwetu; Balozi Ramadhan Dau na Waziri wa Kilimo, Profesa Adolf Mkenda, wakimtambulisha Ikulu mwekezaji kutoka Malaysia kwa Rais Samia Suluhu Hassan. Habari ilikuwa kwamba…

Corona iwe somo kwa Afrika kujitegemea

DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samson Sombi Janga la virusi vya corona vinavyosababisha homa kali ya mapafu limeendelea kuitikisa dunia tangu kugundulika kwake katika Jiji la Wuhan nchini China, Desemba 2019. Dunia haikuwa makini na kuchukua tahadhari kubwa wakati ugonjwa…

Wamachinga wapoteza taswira ya Jiji

*Lajipanga kuwatafutia eneo maalumu huku likiwaonya wanasiasa ARUSHA Na Zulfa Mfinanga Jiji la Arusha ni maarufu nchini na duniani kote kutokana na kuwa kitovu cha utalii pamoja na mkoa mzima kuhodhi vivutio vingi vya utalii. Sambamba na hayo, Arusha pia…

‘Mzimu’ wa Nditiye waibuka

DAR ES SALAAM Na Regina Goyayi Miezi michache baada ya kifo cha Mbunge wa Muhambwe (CCM), Mhandisi Atashasta Nditiye, mapendekezo yake ya namna ya kuongeza mapato ya serikali yamefanyiwa kazi. Mhandisi Nditiye, aliyewahi kuwa Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano,…

Uislamu unahimiza ‘Wasatwiyya’ – (1)

Makala yetu leo inatudai fasili ya neno ‘Wasatwiyya’ ambalo ni sehemu ya anuani yake. ‘Wasatwiyya’ ni neno la Kiarabu linalotokana na maneno ‘Wastwu’ na ‘Wasatwu’. Neno ‘Wastwu’lina maana ya kati na kati na neno ‘Wasatwu’ lina maana ya ubora. Kiujumla, neno ‘Wasatwiyya’ linapata…

WADUNGUAJI HATARI KUMI Thomas Plunkett: Alimuua Jenerali wa Kifaransa

Kuanzia leo safu hii itakuletea orodha ya watu kumi wanaotajwa kuwa ni wadunguaji hatari duniani. Udunguaji ni taaluma maalumu inayotumiwa na aghalabu askari, kulenga shahaba na kuwapiga risasi watu au vitu vilivyo katika umbali ambao kwa kawaida ni vigumu kulenga…