JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Tunapata wapi fedha za kuwekeza? (-2)

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Wiki iliyopita katika ukurasa huu, tulizungumzia namna ambavyo fedha za kuwekeza zinavyoweza kupatikana kwa jamii kuchangishana kwa lengo maalumu, na tukatazama faida zilizopo katika uwekezaji wa pamoja. Tuendelee na sifa za Meneja wa Uwekezaji…

Bunge ndilo husimamia mihimili yote

MOROGORO Na Everest Mnyele Japo haisemwi, kimsingi ukweli ni kwamba Bunge ndilo husimamia mihimili mingine yote; yaani Utawala na Mahakama. Ukuu wa Bunge; Bunge lisilo na woga, hupatikana pale tu panapokuwapo Katiba thabiti ya wananchi. Kwanza, ni lazima tutambue katiba…

‘Royal Tour’ kukuza utalii, uwekezaji kimataifa

DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samson Sombi Desemba 9, mwaka jana Tanzania iliadhimisha miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika ikijivunia mafanikio lukuki baada ya kutawaliwa na wakoloni kwa takriban miaka 75. Baada ya kupata uhuru mwaka 1961, Tanganyika, kwa sasa…

Wastaafu TRL wamlilia Rais Samia

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu  Waliokuwa wafanyakazi wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) wamemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kuingilia kati na kuwasaidia ili uongozi uwape haki zao. Akizungumza kwa niaba ya wenzake zaidi ya 1,000, mmoja wa wastaafu hao,…

Mitandao ‘yamponza’ wakili msomi

Ripoti ya CAG yathibitisha madai aliyotoa mwaka jana DAR ES SALAAM Na Alex Kazenga Wiki iliyopita iligubikwa na taarifa za kutoweka kwa mmoja wa mawakili wa Mahakama Kuu, Peter Madeleka, ikidaiwa kuwa ‘ametekwa’ na watu wasiojulikana. Inadaiwa kuwa Madeleka, kachero…

MANUSURA MAUAJI YA KIMBARI: ‘Nimeshamsamehe aliyemuua mume wangu’

KIGALI, RWANDA Unapaswa kuwa na upendo ili upone; ndivyo anavyoamini mwanamke huyu ambaye si tu kwamba amekwisha kumsamehe mtu aliyemuua mumewe miaka 28 iliyopita, lakini pia amekubali kijana wake kumuoa binti wa aliyekuwa ‘mbaya wake’! Mwanamke huyu, Bernadette Mukakabera, amekuwa…