JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Mtazamo kuhusu ‘Royal Tour’ (1)

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Juni 27, 2004 nilifanikiwa kukutana na Peter Greenberg, mtayarishaji wa kipindi cha televisheni cha ‘The Royal Tour’ na kuzungumza naye mambo mengi kuhusu kipindi hicho na uzoefu wake kama mwanahabari, ‘producer’ wa utalii duniani…

Namna ya kumbana Bodaboda, Bajaj, teksi kuleta hesabu

NA BASHIR YAKUB  Si siri, wengi waliowekeza kwenye biashara ya Bajaj, Bodaboda, teksi na hata daladala wamejuta kufanya hivyo. Wengi wameingia hasara na mambo hayakuwa kama walivyotarajia.  Na niamini, waliomo leo kwenye hiyo biashara si wale walioanza, bali ni wageni, kwani walioanza…

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU KENYA  Mgombea mwenza pasua kichwa 

MOMBASA Na Dukule Injeni Wagombea urais katika Uchaguzi Mkuu wa Kenya unaotarajiwa kufanyika Agosti 9, mwaka huu wamepewa hadi Jumatatu ya Mei 16 wawe wameshawasilisha majina ya wagombea wenza Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC).  Licha ya msururu wa…

BAADA YA UHASAMA…   Mgodi waja na suluhu, maridhiano

*Waunda mfumo huru kusikiliza malalamiko ya wananchi, waathirika kujenga ‘Mwadui Mpya’ SHINYANGA Na Antony Sollo  Kampuni ya Petra Diamond Limited (PDL) inayochimba almasi Mwadui, Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga, imeanzisha mfumo utakaomaliza migogoro ya muda mrefu na jamii inayoizunguka. Uanzishwaji…

CWT: Makubwa yamefanywa kwa mwaka mmoja

*Kaimu Rais afurahia walimu kupandishwa madaraja, ajira mpya *Baada ya madarasa, aiomba Serikali sasa kugeukia nyumba za walimu *Katibu Mkuu: Wingi wa walimu umepunguza mzigo wa ufundishaji *Atoa wito kwa walimu akisema: Sasa twendeni tukachape kazi  DODOMA Na Mwandishi Wetu…

MOI kufuta ulemavu kwa watoto wenye vichwa vikubwa, mgongo wazi

*Wawaomba wadau kuchangia  Sh milioni 800 kwa mwaka kufanikisha DAR ES SALAAM Na Aziza Nangwa Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI) inatarajia kufuta tatizo la watoto wanaozaliwa na vichwa vikubwa na migongo wazi kwa kuwafanyia upasuaji wa kuwawekea vipandikizi. Akizungumzia tatizo…