JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Lumumba azikwa kishujaa baada ya miaka 61

Na Nizar K Visram Hatimaye wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wamemzika rasmi Waziri Mkuu wao wa kwanza, Patrice Lumumba, aliyeuawa mwaka 1961. Wakoloni na vibaraka wao walimuua kisha wakakatakata mwili wake na kuuyeyusha katika tindikali. Kilichobaki ni…

Azimio watumia hasira  za Ruto kumdhoofisha  

MOMBASA NA DUKULE INJENI Kampeni za kisiasa nchini Kenya kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mapema mwezi ujao zinaingia hatua za lala salama huku kila upande ukitumia vema majukwaa ya siasa kupigana vijembe badala ya kuuza sera. Licha ya uwapo wa wagombea…

Makamba:Mradi wa Rusumo kuongeza uhakika wa umeme

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Imeelezwa kuwa, kukamilika kwa mradi wa umeme wa Rusumo wa megawati 80 kutaimarisha hali ya upatikanaji umeme katika mikoa ya Kanda ya Ziwa ambapo kumekuwa na changamoto ya kuwepo kwa umeme pungufu na usio wa uhakika na…

Mapya yaibuka Mkuu wa Gereza

*Ni yule anayetuhumiwa kwa  mauaji ya mfungwa Liwale *Adaiwa kupelekewa kitanda cha  futi tano kwa sita alalie gerezani  *Askari magereza walalamika kulazimishwa  kumpigia saluti wakati ni mahabusu  Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam Mkuu wa Gereza la Wilaya ya Liwale,…

Ukwepaji kodi uwindaji wa kitalii

*Malipo yafanywa kwenye benki za ughaibuni *Akaunti kadhaa zabainika kufunguliwa Mauritius *Tanzania yaambulia ‘kiduchu’, nyingi zaishia huko *TRA, Wizara Maliasili hawana taarifa za wizi huo DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Baadhi ya kampuni za uwindaji wa kitalii zinatuhumiwa kukwepa…

Kamishna lawamani kutaka kumega ardhi

MOROGORO Na Aziza Nangwa Taasisi ya Tretem Network of Schools Limited imemuomba Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula, kuingilia kati kitendo cha Kamishna Msaidizi wa Ardhi Mkoa wa Morogoro, Frank Minzikuntwe, kutaka kumega eneo lao kisha…