JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Yametimia vigogo Dar

*Wakabidhiwa Takukuru kwa mahojiano  *JAMHURI yadhihirisha umahiri wake licha ya Mkurugenzi wa Jiji kutishia  kulishitaki kwa kuandika habari hiyo  DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Hatimaye yametimia. Hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kuwasimamisha kazi vigogo…

Hifadhi ya Ngorongoro itadumu?

DAR ES SALAAM NA THEONESTINA KAIZA-BOSHE Katika makala iliyopita nilizungumzia mazuri, shutuma na ya kujifunza kuhusu hatua ya serikali kuhamisha Wamasai kwa hiari kutoka Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCA) kwenda Kijiji cha Msomera, Handeni mkoani Tanga. Nikaipongeza kwa tukio…

Rais Mwinyi azitaka manispaa Zanzibar zitafute fedha

UNGUJA Na Mwandishi Wetu Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amezitaka manispaa kubadilika na kutofanya kazi kizamani na badala yake zitafute fedha kwa ajili ya miradi katika maeneo yao hasa ya mijini. Kauli…

Jafo awajia juu wanaotiririsha maji taka

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia WAZIRI wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dkt.Selemani Jafo amelitaka Jiji la Dar es Salaam kupitia kitengo cha mazingira kubaini waliounganisha mfumo wa maji taka kwenye mfumo wa maji ya mvua ili hatua…

Yanga, Simba, Azam usajili wa bilioni utavuna nini CAF?

DAR ES SALAAM Na Andrew Peter Usajili wa Yanga, Simba na Azam msimu huu hakuna shaka klabu hizo kwa pamoja zimekwisha kutumia zaidi ya Sh bilioni moja katika kuwanasa nyota hao. Ni jambo zuri kuona klabu zetu zimeamua kuvunja benki…

Mambo matano muhimu kwa Rayvanny nje ya WCB

NA CHRISTOPHER MSEKENA Wiki iliyopita Staa wa Bongo Fleva, Rayvanny, ameteka mitandao ya kijamii baada ya kutangaza kuachana na Lebo ya WCB inayomilikiwa na Diamond Platnumz. Hatua hiyo imekuja baada ya Rayvanny kuwa mkubwa kiasi cha kuona sasa anaweza kujisimamia…