JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Halmashauri zavunja rekodi ya miaka 10

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Miko ana Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Mhesshimiwa Innocent Bashungwa amesema kuwa, katika kipindi cha mwezi Julai hadi Juni 2022 halmashauri nchini zimekusanya Shilingi Bilioni 888.7 ambayo ni asilimia 103…

Waziri Mkenda aunda tume kuchunguza utoaji mikopo kwa wanafunzi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Wakati dirisha la maombi ya mikopo kwa mwaka wa masomo 2022/2023likiwa wazi kwa muda wa siku 70 kuanzia Julai 19 hadi Septemba 30 mwaka huu Serikali imetangaza Tume ya watu watatu kuchunguza utoaji wa mikopo. Tume…

Waziri Maliasili afanya ziara ya kikazi TAWA

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Mary Masanja ametembelea ofisi za Makao Makuu ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) zilizopo mkoani Morogoro. Ziara hiyo imelenga kuzungumza na menejimenti na watumishi wa TAWA kuhusu masuala mbalimbali yanayoihusu Mamlaka, ikiwa ni…

Mradi mkubwa wa kusafirisha umeme Tanzania-Zambia kukamilika 2025

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mbeya IMEELEZWA kuwa, mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya kV 400 kutoka Iringa-Tanzania hadi nchini Zambia (TAZA) utaanza kutekelezwa Januari, 2023 na utakamilika Januari 2025 hali itakayopelekea kuimarika kwa upatikanaji umeme katika mikoa ya Iringa,…

Kinana, Shaka watua Katavi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Katavi Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana amewasili mkoani Katavi kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi itakayokwenda sambambamba na kupokea taarifa na kukagua miradi ya maendeleo. Katika ziara hiyo ya…