JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Nane wafariki baada ya kontena kugonga basi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mbeya Watu nane wamefariki dunia baada ya kontena la mchanga kufeli breki na kuligonga basi la Super Rojas lilikikuwa likitokea Mbeya kwenda Njombe. Kamanda wa Polisi mkoani humo Urlich Matei amethibitisha kutokea tukio hilo leo iliyotokea katika eneo…

Mbarawa asisitiza kiwanja cha ndege Msalato kukamilika mapema

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, amemtaka mkandarasi anayejenga Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato kuhakikisha anakamilika kwa wakati na kwa ubora. Ametoa agizo hilo leo jijini Dodoma, alipokuwa akikagua maendeleo ya ujenzi wa kiwanja hicho ambacho…

Wananchi watakiwa kutunza misitu ilete fursa

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Selemani Jafo ametoa wito kwa wananchi kuendelea kutunza misitu ili iweze kuleta fursa katika uwekezaji wa hewa ya ukaa. Ametoa wito huo leo Agosti 15, 2022 alipokutana na…

‘Kuna vifungu vya sheria vinavyowanyima usingizi waandishi wa habari’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia IMEELEZWA kuwa bado kuna vifungu vya sheria vinavyozuia uhuru wa habari na kuchangia waandishi wa habari kushindwa kutekeleza majukumu yao. Hayo yameelezwa leo Agosti 15,2022 na Mwenyekiti mstaafu wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Theophil Makunga,katika ofisi…

‘Uwepo wa sheria zinazotekelezeka kutaisaidia tasnia ya habari’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia VYOMBO vya habari vinaisaidia serikali katika kuona na kuchukua hatua, hivyo uwepo wa sheria zinazotekelezeka kunaweza kusaidia tasnia hiyo kuwa msaada mkubwa kwa serikali. Kauli hiyo ilitolewa na Salome Kitomari, Mwenyekiti wa Taasisi ya Vyombo vya Habari…

Kinana asema wanaodai urais wa Samia ni wa katiba sio wakweli

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Zanzibar Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM),Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana ameweka wazi kuwa Rais Samia Suluhu Hasasan ni Rais kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na amepatikana kwa mchakato wa uchaguzi mkuu kwa kupigiwa…