JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Waziri atoa wiki mbili bandari Karema kuanza kutoa huduma

Naibu Waziri Uchukuzi, Atupele Mwakibete ametoa wiki mbili kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), kuhakikisha bandari mpya ya Karema inaanza kutoa huduma ili kurahisisha usafirishaji wa mizigo na abiria kwa mikoa inayozunguka Ziwa Tanganyika na…

Wajerumani waimarisha afya Zanzibar

Na Rahma Khamis,JamhuriMedia,Zanzibar Waziri wa Afya Zanzibar Nassor Ahmed Mazurui amesema kuwa Serikali ya Ujerumani imekusudia kuanzisha mfuko wa bima ya Afya (Health Insuarence) ambao utasaidia wananchi kuwapunguzia gharama za matibabu na kuweza kupata huduma bora Nchini . Ameyasema hayo…

Tanzania,Oman yafungua milango kukuza sekta ya nishati

Waziri wa Nishati January Makamba amekutana na Balozi wa Oman nchini Tanzania Saud Hilal Al Shidhani na kuzungumzia fursa mbalimbali za uwekezaji zilizopo katika sekta ya mafuta na gesi hususani katika miradi mikubwa inayoendelea kutekelezwa nchini. Mazungumzo hayo yamefanyika katika…

Kiwanda cha kuchenjua madini ya shaba mbioni kuanzishwa Tunduru

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Kiwanda cha kuchenjua Madini ya Shaba kinatarajiwa kuanzishwa wilayani Tunduru Mkoa wa Ruvuma ili kuwezesha shughuli za kuchenjua madini hayo kufanyika nchini na hivyo kulinufaisha taifa na watanzania. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Madini, Dkt. Doto Biteko…

Waziri Mkenda aunda timu ufuatiliaji wahitimu kutoka VETA

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda,ameunda timu ya Wataalamu ya kufanya utafiti fuatilizi wa wahitimu wa mafunzo ya ufundi kutoka Vyuo vya Ufundi Stadi nchini (VETA), ili kusaidia maboresho ya mitaala nchini. Timu hiyo inaongozwa na Dkt….

Serikali kutumia tafiti kutatua changamoto za jamii

SERIKALI imeanzisha mpango kabambe wa kutumia tafiti zilizofanyika na zinazoendelea kufanyika na wataalamu wa ndani ili kutatua changamoto zilizopo kwenye jamii. Akizungumza katika Uzinduzi wa Kigoda cha Utafiti cha Oliver Tambo (Oliver Tambo Research Chair for Viral Epidemics) uliofanyika katika…