JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Rais Samia asisitiza matumizi ya lugha ya Kiswahili

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan amesisitiza umuhimu wa usalama wa chakula katika ukanda mzima wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) na kuzisihi nchi hizo kuwekeza kwenye ‘Uchumi wa Buluu’. Rais Samia amependekeza hayo katika…

Kesi ya mgogoro wa ardhi Pugu Kinyamwezi yarejeshwa Mahakama ya Wilaya

Na Aziza Nangwa,JamhuriMedia,Dar Jaji Mwenegoha wa Mahakama Kuu Divisheni ya Ardhi ameamuru kesi ya mgogoro wa ardhi dhidi ya Frida Kysesi na Shaabani Kapelele ilirudi Baraza la Ardhi la Wilaya kwa ajili ya kusikilizwa. Uamuzi huo ulifikiwa jana baada ya…

Waziri Maryprisca atoa siku saba kwa meneja RUWASA Handeni

Naibu Waziri wa Maji Marry Prisca Mahundi ametoa siku saba kwa Meneja wa RUWASA Wilaya ya Handeni Mhandisi Hosea Joseph kuhakikisha anamsimamia mkandarasi wa Kampuni ya Mponela Dicksona Mwipoo anayetekeleza mradi wa maji katika Kijiji cha Msomera wilayani humo kuhakikisha…

Shaka aagiza kuchukuliwa hatua mtendaji wa kijiji Kaliua

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka ameagiza Ofisi ya Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Kaliua Mkoani Tabora kumchukulia hatua aliyekuwa Mtendaji wa Kijiji cha Ibambo kata ya Mwongozo Adam Muyaga…

‘Sheria inakwaza vyombo vya habari na kuzidi kusinyaa’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia MJUMBE wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), na katibu mstaafu wa jukwaa hilo Neville Meena amesema kuwa bado kuna ukakasi kwenye sheria ya vyombo vya habari ya mwaka 2016. Ameyasema hayo wakati akizungumza na Kituo cha Radio…