JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Ridhiwani Kikwete aingia mtaani kutatua migogoro ya ardhi

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Ridhiwani Kikwete amezitembelea familia na makazi yenye migogoro ya ardhi ya muda mrefu kwa kuzifuata katika maeneo yao kwa lengo la kujionea uhalisia wa migogoro na kupata maelezo ya kina kabla…

Behewa mpya zaidi ya 20 kuwasili nchini Septemba

Serikali imesema mabehewa mapya ya abiria zaidi ya 20 ya reli ya kati yanatarajiwa kuwasili mapema mwezi Septemba mwaka huu kutokea Nchini Korea Kusini lengo likiwa kupunguza changamoto ya upungufu uliopo wa mabehewa hususani kwa njia ya Mpanda na Kigoma….

Prof.Muhongo ahamasisha wananchi kushiriki sensa

Na Fresha Kinasa,JamhuriMedia,Musoma Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini mkoani Mara,Prof.Sospeter Muhongo ameendelea na zoezi la kampeni la kutoa elimu na hamasa kwa wananchi wa Kisiwani cha Rukuba ili washiriki kwa ufanisi kuhesabiwa katika Sensa ya Watu na Makazi Agosti…

Mpango amwagiza IGP kuwachukulia hatua askari wanaoharibu taswira ya jeshi

Makamu wa Rais amemuagiza IJP Wambura kuangazia malalamiko yanayotolewa na wananchi kwa Jeshi la Polisi na kuwachukulia hatua askari wachache wanaoharibu taswira ya jeshi hilo Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya…