JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Jafo ahimiza wananchi kushiriki Sensa Agosti 23

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Pwani Mjumbe wa Kamati ya Sensa kitaifa na Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dkt. Selemani Jafo amewataka wananchi kutowabughudhi makarani wa sensa na badala yake kuwapa ushirikiano wafanikishe shughuli hiyo Aidha Jafo amesema kamati…

Mwanafunzi ajinyonga baada ya madaftari na nguo zake kuungua

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Njombe Mwanaunzi wa darasa la sita Marko Sanga (12), amekutwa amekufa baada ya kujinyonga kwa kutumia mnyororo wa baiskeli kwa kile kinachodaiwa kuwa kutokana na radio, nguo za shule pamoja na madaftari kuungua kwa shoti ya umeme. Kwa…

Ridhiwani akabidhi mashamba 11 yaliyoshindwa kuendelezwa Kilosa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Kilosa Naibu Waziri wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , Ridhiwani Kikwete amewahimiza viongozi wa Wilaya ya Kilosa kusimamia mpango wa matumizi ya mashamba 11 aliyoyakabidhi mwishoni mwa wiki , wilayani humo kwa niaba…

Serikali yatoa ufafanuzi gharama za bando

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari,Nape Nnauye amesema kwa mujibu wa tafiti zilizofanywa na taasisi za kimataifa, Tanzania inashika nafasi ya sita kwa Bara la Afrika kwa kuwa na gharama za chini za bando “vifurushi” huku ikishika nafasi…

Shaka amwagiza Bashe kumuondoa Mrajisi vyama vya ushirika Tabora

Shaka amwagiza Waziri Bashe kumuondoa Mrajisi vyama vya ushirika Tabora Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tabora KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Shaka Hamdu Shaka amemuagiza Waziri wa Kilimo Hussein Bashe kumuondoa haraka Mrajisi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa…

STAMICO,GST watakiwa kufanya utafiti wa madini Mtwara

Na Tito Mselem,JamhuriMedia, NAIBU Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa ameiagiza Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kuwasadia wachimbaji wadogo wa madini katika mkoa wa Lindi na Mtwara kwa kuwafanyia…