JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Nape: Waandishi wa habari ni kama wanataaluma wengine wajisimamie wenyewe’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia SERIKALI imesema kuwa sheria ya mwaka 2016 ilitungwa ili kupunguza mikono ya Serikali kuendesha vyombo vya habari kwani sheria ya mwaka 1976 ilikuwa imeweka mikono mingi sana. Akizungumza katika kipindi cha Televisheni cha BBC, Dira ya DuniaWaziri…

Wizara, wadau wajipanga kupunguza tatizo la watoto mitaani

Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imejipanga kushirikiana na wadau mbalimbali katika kuhakikisha inapunguza tatizo la Watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani. Akizungumza katika kikao naTaasisi ya Azaria Foundation jijini Dodoma Agosti 22, 2022…