JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Bibi afariki baada ya kuruka kutoka ghorofani

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Unguja Rehema Chande (70),ambaye ni mkazi wa Unguja, Zanzibar, amefariki dunia baada ya kuruka kutoka ghorofa ya pili nyumba anayoishi wakati akijiokoa dhidi ya moto uliowaka ndani ya nyumba hiyo. Kamanda wa Kikosi cha Zimamoto Zanzibar, Rashid Mzee…

LIVE:Mkutano wa NHIF na wadau Geita

Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umekutana na wadau wake nchini kote kwa lengo la kuwasikiliza, kushauriana na kujadiliana namna ya kuboresha huduma mbalimbali wanazotoa ili ziweze kuwafikia kwa ufanisi. NHIF imejipanga kutoa huduma bora za matibabu kwa…

‘Taarifa za utoaji habari za watoto zina kasoro nyingi’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia BADO kuna changamoto za utoaji taarifa kuhusiana na vitendo mbalimbali wanavyofanyiwa watoto nchini na kuchangia matukio ya ukatili kuendelea kutokea. Hayo yamebainishwa katika mafunzo kwa wakuu wa vitengo vinavyosimamia wanafunzi wa uandishi wa habari katika vyuo mbalimbali…

Wizara zaweka mikakati kuweka mazingira wezeshi kwa wazee

Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Wizara ya Fedha na Wizara ya Maji zimekubaliana kuweka mikakati…

Serikali yaonyesha nia kumaliza kiu Mabadiliko ya Sheria ya Habari’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar WAKILI wa kujitegemea na mwakilishi wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF),amesema kuwa katika mchakato wa Mabadiliko ya Sheria ya Habari,Serikali imeonyesha nia ya kufanyia kazi vipengele mbalimbali hivyo mchakato huo utapata majibu yatakayomaliza kiu sekta ya habari….

Wahifadhi watakiwa kujenga mahusiano mazuri na wananchi

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Mary Masanja amewataka wahifadhi kujenga mahusiano mazuri na wananchi wanaoishi pembezoni mwa hifadhi ili kurahisisha utekelezaji wa majukumu yao ya kuhifadhi rasilimali za Taifa. Hayo yamesemwa leo na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe….