JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Wawekezaji Arusha wammwagia sifa Rais Samia ujenzi wa barabara

Wawekezaji na wananchi wa kata ya Themi, Halmashauri ya Jiji la Arusha wamemsifu na wamempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwajali na kuwajengea kwa kiwango cha lami barabara za Themi -Viwandani zenye urefu wa kilometa 1.4 kwagharama ya shiligi 1,175,141,850.00….

Kinana aishauri kampuni ya meli kujiendesha kibiashara

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kigoma Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abdulrahman Kinana ameishauri Kampuni ya huduma za meli nchini (MSCL) kujiendesha na kuanza kufikiri kibiashara ikiwemo kuomba dhamana za serikali Ili kukopa fedha na kununua meli mpya ili…

Watoto laki 263 Pwani kupata chanjo ya Polio

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Pwani Mkoa wa Pwani unatarajia kuchanja zaidi ya watoto zaidi ya laki 263 chanjo ya ugonjwa wa polio katika kipindi cha kampeni hiyo ambayo itadumu kwa kipindi Cha siku nne. Hayo yamebainishwa na Mganga mkuu wa Mkoa wa…

TANAPA isaidieni Mahakama kujenga ushahidi usio na mashaka

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Katavi Naibu Kamishna wa Uhifadhi na Maendeleo ya Biashara (TANAPA), Herman Batiho amewataka wahitimu wa Mafunzo ya Uongozi na Kwata kwa Askari Waandamizi kuisaidia Mahakama kujenga Ushahidi usio na mashaka kwa kesi zote zinazohusiana na masuala ya Wanyamapori…

Mabasi yasiyokata tiketi kwa mtandao kuanza kuzuiliwa kesho

Na Mwandishi Wetu,Jamhurimedia,Morogoro MAMLAKA ya udhibiti usafiri ardhini( LATRA)imesema kuwa kuanzia Septemba mosi 2022 mabasi yote ya abiria ambayo hayatakuwa yamewakatia abiria wake tiketi mtandao hayataruhusiwa kuendelea na safari yake ikiwa ni pamoja na kutozwa faini ya shilingi 250000 kwa…

RC Makalla atoa siku 30 kwa wakazi wa Chasimba, Chatembo kulipa fidia

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ametoa mwezi mmoja kwa wavamizi wa ardhi ya Kiwanda Cha Wazo kuhakikisha wanapokea ankara na kuanza malipo ya fidia kwa mujibu wa makubaliano yaliyokuwa yamewekwa awali. RC…