JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Jedwali la uchambuzi wa sheria ndogo lakabidhiwa kwa Simbachawane

Na Mwandishi Wetu,Jamhurimedia, Dodoma Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu George Simbachawene amepokea Jedwali la Uchambuzi wa Sheria Ndogo zilizowasilishwa katika Mkutano wa Bunge wa Saba kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Ramadhani Suleiman….

Afariki kwa kuchomwa visu tumboni na mumewe

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Geita JESHI la Polisi mkoani Geita linamtafuta mchimbaji wa madini ya dhahabu Mashaka Jeremia kwa tuhuma za kumchoma mkewe visu sehemu mbalimbali ya mwili wake na kusababisha kupoteza maisha . Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Ally Kitumbu…

Serikali yatoa bil.3/-kujenga sekondari ya wasichana Ruvuma

Na Mwandishi Wet,JamhuriMedia, Ruvuma Serikali imetoa shilingi bilioni tatu kutekeleza mradi wa shule ya sekondari ya wasichana ya Mkoa wa Ruvuma ambayo inajengwa katika eneo la Migelegele wilayani Namtumbo. Akizungumza baada ya kukagua mradi huo,Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali…

Watoto 11, 347 wapatiwa chanjo ya Polio Kibaha Mjini

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kibaha Halmashauri ya Mji Kibaha ambayo imepewa dozi 40,000 ya chanjo ya matone ya kutokomeza polio inatarajia kutoa chanjo hiyo kwa watoto wasiopungua 38,748 kwa awamu hii kwenye Kata 14 na Mitaa 73 inayounda Halmashauri hiyo ambapo tayari…

Prof: Mkenda akutana na kufanya mazungumzo na balozi wa Singapore nchini

Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Prof.Adolf Mkenda leo Septemba 2, jijini Dar es Salaam amekutana na kufanya mazungumzo na balozi wa Singapore nchini Bw.Douglas Foo. Katika mazungumzo hayo Tanzania na Singapore zimekubaliana kuboresha ushirikiano zaidi katika sekta ya elimu ikiwemo…

Sendiga: Watumishi tatueni kero za wananchi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Rukwa Madiwani na Watumishi wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga wametakiwa kushirikiana katika kutatua kero na shida za wananchi ili kuleta ustawi wa mji huo. Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Queen Sendiga leo Septemba…