JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Ruvuma yafanikiwa kutoa chanjo ya Polio kwa asilimia 122.2

MKOA wa Ruvuma umefanikiwa kutoa chanjo ya polio kwa Watoto 398,029 sawa na asilimia 122.2. Katibu Tawala Msaidizi ,Huduma za Afya,Lishe na Ustawi wa Jamii Mkoani Ruvuma Dr.Lous Chomboko amesema Mkoa ulilenga kuchanja Watoto 325,746 katika awamu ya tatu ya…

CSSC kupitia mradi wa Tuwekeze Afya kwenye makanisa waleta mafanikio

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Shirika la Christian Social Services Commission (CSSC), kupitia mradi wa Pamoja Tuwekeze Afya unaolenga kuwezesha vituo vya afya vya makanisa kujiimarisha na kujiendesha kiuendelevu kupitia mapato ya ndani umeleta mafanikio mbalimbali ikiwemo kuongeza wateja kwa asilimia 22…

Ukarabati kivuko cha MV Tanga wafikia pazuri

Na Alfred Mgweno,JamhuriMedia,Tanga Serikali kupitia Wakala wa Ufundi na Umeme nchini TEMESA inaendelea na utekelezaji wa miradi ya ukarabati wa vivuko nchini ambavyo muda wake wa kukarabatiwa umefika ili viendeelee kutoa huduma vikiwa katika hali ya usalama, katika muendelezo huo,…