JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Wizara ya Maliasili na Utalii kujenga makumbusho ya marais Dodoma

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Wizara ya Maliasili na Utalii imeanza maandalizi ya ujenzi wa Makumbusho kubwa ya Marais wa Tanzania Jijini Dodoma kwa lengo la kuhifadhi Urithi wa mchango mkubwa walioutoa na unaoendelea kutolewa. Hayo yamesemwa na Waziri wa Maliasili na…

Rais Samia amlilia Malkia Elizabeth II

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesikitishwa na kifo cha Malikia Elizaberth II wa nchini Uingereza, kilichotokea jana Alhamisi Septemba 8, 2022 katika visiwa vya Balmoral nchini Scotland alipokuwa anapatiwa matibabu. Katika ukurasa wake wa Twitter, Rais Samia ameandika, “Nimesikitishwa…

Wasifu wa Malkia Elizabeth II wa Uingereza

Elizabeth Alexandra Mary Windsor alizaliwa mnamo Aprili 21,1926, katika jumba lililokuwa karibu na Berkeley Square jijini London. Alikuwa kifungua mimba wa Albert, Mwanamfalme Mtawala wa York, aliyekuwa mwana wa pili wa kiume wa George V, na mkewe ambaye zamani alifahamika…

LHRC watoa msaada wa kisheria bure Singida

Na Mwandishi wetu,JamhuriMedia,Singida KITUO cha Sheria na Haki za Binaadamu (LHRC) kimeanza kutoa bure ushauri wa kisheria kwa wananchi wa mkoa wa Singida. Akizungumza na waandishi wa habari,Wakili Hamis Mayombo amesema zoezi hilo ambalo limeanza jumatatu wiki hii litakuwa la…