JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

KOFIH yaipiga mjeki Mlongazila vifaa tiba

Hospitali ya Taifa Muhimbili- Mloganzila imepokea msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya TZS 382,650,980 Mil kutoka serikali ya Korea Kusini kupitia Taasisi ya Korea Foundation for Health Care (KOFIH) vitakavyotumika kuboresha utoaji wa huduma katika wodi ya watoto wachanga…

ACT-Wazalendo: Tunahitaji mradi wa bomba la mafuta uendelee

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimelitaka Bunge la Ulaya kuondoa azimio la kutaka kusitishwa kwa mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga. Msemaji wa Sekta ya Madini katika chama hicho, Isihaka…

Rais Samia aidhinisha bilioni 150/- za ruzuku ya mbolea

Waziri Mkuuu Kassim Majaliwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameidhinisha shilingi bilioni 150 kutumika kwa ajili ya ruzuku ya mbolea ili kuwezesha upatikanaji wa bidhaa hiyo kwa wingi na kwa gharama nafuu. Majaliwa amesema katika msimu wa 2022/2023, utoaji wa…

Hawa ndio wawakilishi wa Tanzania Bunge la Afrika Mashariki

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Ackson leo Septemba 22,2022 amewatangaza washindi tisa walioibuka na ushindi kwenye uchaguzi wa wabunge wa Afrika Mashariki (EALA), kati ya wagombea 20 uliofanyika bungeni, jijini Dodoma Akitangaza Majina ya…