JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Ashikiliwa kwa tuhuma za kumbaka mjamzito hadi kufa Iringa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Iringa Jeshi la Polisi mkoani Iringa inamshikilia Mohamed Njali kwa tuhuma za kumbaka mjamzito Atka Kivenule na kumsababishia kifo. Kamanda wa Polisi mkoani humo Allan Bukumbi, amethitisha kutokea kwa tukio hilo lilitokea Jumamosi usiku, mtaa wa Maweni,Kata…

Benki ya Dunia yaridhishwa na kasi ya huduma za mahakama

Na Mary Gwera,JamhuriMedia Mkurugenzi wa Kanda ya Afrika anayeshughulikia Ukuzaji wa Uchumi na Taasisi kutoka Benki ya Dunia (WB), Bw. Asad Alam amepongeza hatua ya uboreshaji wa huduma za utoaji haki nchini huku akiahidi kuwa Benki hiyo itaendelea kuunga mkono…

Nini kinafichwa nyuma ya stempu za ushuru?

Na Joe Beda Rupia,JamhuriMedia Mwaka 2017, Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) ilitangaza zaburi ya kimataifa ya usambazaji, ufungaji na uendeshaji wa mfumo wa stempu za ushuru za kielektroniki. SICPA, kampuni ya Uswisi inayomilikiwa na familia iliyoiasisi, ilipata zabuni hiyo na…

Polisi yawashikilia watuhumiwa 15 kwa mauaji, wizi wa mifugo Tunduru

Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi,JamhuriMedia,Tunduru Jeshi la Polisi kupitia kikosi cha kupambana na kuzuia wizi wa mifugo nchini kinawashikilia watuhumiwa 15 waliohusika katika tukio la mauaji ya wafugaji katika kijiji cha Mbatamila Wilaya ya Tunduru Mkoa wa Ruvuma….

Kamati ya kushughulikia migogoro ya ardhi kuanza kazi Jumatatu Dodoma

Na Munir Shemweta,JamhuriMedia, Dodoma Kamati ya kushughulikia migogoro ya ardhi iliyoundwa na Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Allan Kijazi itaendelea kutatua changamoto za ardhi katika mkoa wa Dodoma kuanzia Septemba 26 hadi 30, mwaka…