JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Mkandarasi Songea achangia mufuko 20 ya saruji shule ya msingi Makambi

Na Julius Konala,JamhuriMedia,Songea Katika kuunga mkono jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan za kuboresha majengo ya shule hapa Nchini,mkurugenzi wa kampuni ya ukandarasi ya GAJOVU Joseph Ngonyani(WAYA)amechangia mifuko 20 ya saruji yenye thamani ya zaidi ya shilingi 300,000 kwa ajili…

Askari uhifadhi wa TANAPA 97 wahitimu mafunzo Namtumbo

Askari wahifadhi wa TANAPA 97 wamehitimu mafunzo ya aina tatu tofauti katika chuo cha Uhifadhi Maliasili Jamii cha Likuyu Sekamaganga wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma. Akitoa taarifa ya mafunzo hayo kwenye hafla ya ufungaji mafunzo hayo iliyofanyika kwenye viwanja vya chuo…

Sauti programu kuzalisha mifugo bora kwa soko la ndani na nje

Programu ya Samia Ufugaji kwa Tija inakwenda kumaliza changamoto ya upatikanaji wa mifugo bora inayohitajika kwa ajili ya soko la ndani na nje ya nchi. Hayo yamesemwa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Mashimba Ndaki wakati anazungumza na vijana waliochaguliwa kujiunga…

Watano wahukumiwa kunyongwa hadi kufa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora Mahakama Kuu, Kanda ya Tabora nchini Tanzania, leo Ijumaa Septemba 30, 2022 imewahukumu kunyongwa hadi kufa watuhumiwa watano ambao ni wakazi wa Wilaya ya Igunga, Mkoa wa Tabora. Ni baada ya kuwatia hatiani kwa kosa…

Lions yamkabidhi Ridhiwani vifaa tiba vya Mil. 5 /-

Na Omary Mngindo, TimesMajira Online,Ruvu Taasisi ya Lions Club imemkabidhi vitanda na vifaa tiba Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Ridhiwani Kikwete, vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 4.9. Katika hafla fupi iliyofanyika kwenye Zahanati ya…

Wananchi watakiwa kuchukua tahadhari mlipuko wa Ebola

Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari juu ya mlipuko wa janga la Ebola ambao unaripotiwa kutokea nchi jirani ya Uganda huku wakitakiwa kuondokana na safari zisizo za lazima ili kuepukana na ugonjwa huo. Hayo yamesemwa jijini Arusha na Rais wa Chama cha…