JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Uzembe wa madereva wasababisha vifo vya Watanzania 3545

Na Willson Malima,JamhuriMedia, Dar Jeshi la Polisi limetoa taarifa ya ajali ya kipindi cha mwaka 2020 hadi Agosti 2022 ambapo imesema kuwa kwa kipindi hicho kulikuwa na ajali 4589 iliyosababisha jumla ya vifo 3545 na majeruhi 58694. Hayo yamebainishwa leo…

‘Panya road’ 40 wapandishiwa kizimbani

Washtakiwa 40 akiwemo Lubea Manzi ambaye ni maarufu kwa jina la ‘Master’ ‘ wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaa kwa makosa ya unyan’anyi kwa kutumia silaha mbalimbali. Washtakiwa hao maarufu kwa jina la ‘Panya road…

Mama amchoma moto mwanaye la 7, ashindwa kufanya mitihani

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Geita Mwanafunzi wa darasa la saba katika shule ya msingi Shahende mkoani Geita, Helena Mashaka (13), ameshindwa kutimiza ndoto zake baada ya mama yake mzazi kumchoma moto mikono kwa tuhuma za kuiba sh.30,000. Edgar Michael ni mtendaji…

Mbaroni kwa kuiba mtoto mchanga wa miezi miwili

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Songwe Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linamshikilia Yusta Mwanyonga (27) Mkazi wa Kijiji cha Senjele, wilayani Mbozi kwa kosa la wizi wa mtoto mchanga wa miezi miwili. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, Kamanda wa…

Rombo kutumia soko la kimataifa kuuza ndizi

Na Mathias Canal, JamhuriMedia,Rombo Ndizi ni zao kubwa la biashara na chakula hivyo likitumika vizuri litabadili uchumi wa wakulima na nchi kwa ujumla wake. Katika kuimarisha sekta ya Kilimo hususani zao la ndizi imeelezwa kuwa kuna umuhimu wa kutumia soko…

Bei ya mafuta ya petroli yapungua

Bei ya mafuta ya petroli na dizeli ya mwezi Oktoba imepungua ambapo kwa Mkoa wa Dar es Salaam petroli itauzwa kwa Sh.2886 huku dizeli ikiuzwa kwa Sh. 3,083 kwa bei ya rejareja Kwa mkoa wa Tanga Petrol itauzwa 2,924 na…