JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Watano wafariki na wengine 31 wajeruhiwa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mbeya Watu watano wamekufa baada ya basi la Kyela Express kugongana uso kwa uso na basi dogo aina Toyota Coaster katika ajali iliyotokea mkoani Mbeya. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya ACP Benjamini Kuzaga amethibitisha kutokea kwa ajali…

Dkt.Tulia achaguliwa kuwa mwenyekiti Umoja wa Mabunge Duniani

Wajumbe wa Kundi la Kijiografia Kanda ya Afrika la Umoja wa Mabunge Duniani (African Geopolitical Group of IPU) wamemchagua Mhe. Dkt. Tulia Ackson Spika wa Bunge la Tanzania, kuwa Mwenyekiti wa Kundi hilo ambapo atahudumu kwa kipindi cha Mwaka Mmoja….

TAMCODE yashauri adhabu ya kifo iondolewe

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Shirika la Vyombo vya Habari kwa Maendeleo ya Jamii Tanzania (TAMCODE) limetoa wito kwa Majaji kutoa hukumu ya kifungo cha maisha kwa washtakiwa wa mauaji badala ya kifo ili kuokoa watu wasiokuwa na hatia. Akizungumza na Waandishi…

Jafo awakoromea watendaji wanaofanya urasimu

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Pwani Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira alhaj,Dkt.Selemani Jafo amekemea watendaji wa Serikali wanaofanya urasimu katika kuchelewesha nyaraka za wawekezaji ili kuwekeza nchini. Aidha ameeleza Tanzania ni nchi ya mfano yenye amani na…

Waziri Chana akoshwa na ubunifu tamasha la kitamaduni la Kimasai

Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt. Pindi Chana ameupongeza uongozi wa Wonderland Afrika na View Point Adventures Safaris LTD kwa ushirikiano waliouonesha wa kubuni Tamasha la Kiutamaduni la Kimasai linaloitwa Masai Festival kama zao jipya la Utalii wa Kiutamaduni….

Wawili washikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mwanafunzi Dodoma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wakazi wawili wa mkoani Dodoma wanashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za mauaji ya mwanafunzi wa shule ya msingi Mtumba, Farida Makuya (16) ambaye alitakiwa kufanya mitihani jana. Inadaiwa alipigwa na kitu kizito kichwani wakati mama…