JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Polisi yamsaka mwanaume aliyemkata mpenzi wake sehemu za siri na matiti

Jeshi la Polisi linamtafuta mtu aliyefahamika kwa jina moja la Masoud kwa tuhuma za kumkata sehemu za siri pamoja na chuchu za matiti zote kwa aliyekuwa mpenzi wake aliyedumu naye miezi miwili. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza SACP Ramadhani…

Kundecha:Elimu ya dini kwa watoto itapunguza ubakaji

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Wazazi wameshauriwa kuzingatia malezi na maadili kwa watoto wao ili kupunguza idadi ya watoto wanaojiingiza katika makundi yasiyofaa na kusababisha kufanya matendo yanayoishangaza jamii. Ushauri huo umetolewa leo Oktoba 12, 2022 na Amiri wa Baraza Kuu la…

Majaliwa:Tutaendelea kutoa kipaumbele kwa watoto wa kike

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Tanzania itaendelea kutoa kipaumbele katika kuhakikisha wanawake na watoto wa kike wanapata huduma wezeshi zikiwemo za afya na elimu ili kuwezesha kujenga jamii yenye usawa. Amesema Serikali inatambua na itaendelea kuunga mkono jitihada…

Uhalisia wa kipimo cha DNA 700,000/- hadi 800,000/-

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali imetaja vipaumbele mbalimbali vya mwaka 2022/23, ikiwamo kununua mitambo na vifaa vya kisasa pamoja na kuimarisha miundombinu ya uchunguzi wa kimaabara. Hayo yameelezwa leo Oktoba 11,2022 jijini Dodoma na…

Wapatiwa mafunzo uendeshaji mashauri ya wanyapori

Na Angel Meela,JamhuriMedia,Arusha Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA) kwa kushirikiana na Mahakama ya Tanzania pamoja na Taasisi isiyo ya kiserikali inayojihusisha na Uhifadhi wa Mazingira na Usalama wa Wanyamapori ‘PAMS Foundation’ kinaendesha mafunzo ya uendeshaji wa mashauri ya…