JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Kamati ya mawaziri yajionea uvamizi kwenye chanzo cha maji Katavi

Na Munir Shemweta,JamhuriMedia,Katavi Kamati ya Mawaziri wa Wizara za Kisekta imetembelea maeneo ya hifadhi na chanzo cha maji katika mkoa wa Katavi kujionea hali ya uvamizi wa maeneo hayo na kuelekeza wananchi waliovamia maeneo hayo kutofanya maendelezo mpaka hapo timu…

Wizara yaanza kampeni mkoa kwa mkoa kupambana na ukatili

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kwa kushirikiana na Wizara za Kisekta na wadau wa Maendeleo imeanza Kampeni maalum ya Mkoa kwa mkoa kupambana na vitendo vya ukatili. Akizungumza wakati wa Kilele cha Kampeni ya kupinga…

TPA yadhamiria kuziboresha bandari kuwa za kisasa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Bagamoyo Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA),imedhamiria kufanikisha maono ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kufanya mageuzi makubwa ya uchumi wa nchi kutoka daraja la tatu kwenda kwenye nchi zenye uchumi wa daraja la pili. Hayo yamebainishwa…

Kinana ataja mambo manne ambayo hayati Nyerere alikuwa akiyasimamia

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kibaha Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM) Tanzania Bara Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana ametaja mambo manne ambayo Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere alikuwa akiyasimamia enzi ya uhai wake kwa ajili ya maendeleo ya Watanzania….

Rais kupokea na kuzindua chuo cha VETA Kagera

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tazania anatarajiwa kupokea na kuzindua Chuo kipya cha Ufundi Stadi na Huduma (VETA) cha Mkoa wa Kagera. Halfa hiyo inatarajiwa kufanyika Alhamis tarehe 13 Oktoba, 2022. Katika Chuo hicho kipya kilichopo Burugo Nyakato Kagera….