JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Madereva wa bajaji wapewa mwongozo wa utendajikazi Arusha

Na Abel Paul,JamhuriMedia,Arusha Uongozi wa Wilaya ya Arusha umewaka waenda Pikipiki za mataili matatu maarufu bajaji kufuata utaratibu na kuweka mipango mathubuti wa uendeshaji wa shughuli zao katika jiji la Arusha ambapo wametakiwa kujisajili na kuweka uongozi imara ili kuondoa…

TRA yatoa ufafanuzi tuhuma za kukusanya kodi kimabavu

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetolea ufafanuzi tuhuma zilizoandikwa kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter kuhusu ukusanyaji wa kodi kwa kutumia mabavu na kufafanua kwamba kilichokuwa kinafanyika, ilikuwa ni kukamata shehena ya vitenge vilivyoingizwa nchini kwa njia ya magendo. Taarifa…

NECTA yatoa tamko mwanafunzi kubadilishiwa namba ya mtihani

Mwanafunzi wa shule ya Msingi Chalinze Modern Islamic, Mkoa wa Pwani, Iptisum Slim amedai kubadilishiwa namba yake mtihani wa kumaliza elimu ya msingi Oktoba 5 hadi 6, 2022. Kupitia video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii mwanafunzi huyo mhitimu wa darasa…

Mwalimu afungwa jela maisha kwa kumlawii mwanafunzi

Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Moshi imemuhukumu mwalimu Elibariki Mchomvu kwa kosa la kumlawiti mwanafunzi wake wa kiume mwenye umri wa miaka saba. Mwalimu huyo aliyekuwa akifundisha Shule ya Msingi Chomvu iliyopo Wilaya ya Mwanga alipatrikana na hatia kwa…

Kamati ya Bunge ya Bajeti yakagua upimaji mafuta Dar

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imefanya ziara katika maeneo yanayotumika kupakua mafuta kutoka kwenye Meli na kupima katika Bandari ya Dar es Salaam na Kigamboni mkoani Dar es Salaam. Ziara hiyo ilifanyika jana ikiwa na lengo la kujihakikishia…