JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Malkia aipongeza Tanzania kwa ukuaji wa huduma jumuishi za kifedha

Malkia Maxima wa Uholanzi ameipongeza Tanzania kwa ukuaji wa huduma jumuishi za fedha nchini ambapo idadi ya Watanzania wanaopata huduma za kifedha imepanda kutoka asilimia 17 kwa mwaka 2010 hadi kufikia asilimia 58 kwa mwaka 2022. Akizungumza alipokutana na Gavana…

Wiki ya AZAKI kujadili maendeleo ya watu na taifa kwa ujumla

Mkurugenzi Mtendaji wa Foundation for Civil Society  (CFC) Francis Kiwanga (katikati) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kuhusu Wiki ya AZAKI inayotarajiwa kuanza rasmi Oktoba 24 hadi 28, 2022 Jijini Arusha. (kushoto) ni, Mkurugenzi Mkazi wa shirika la Norwegian…

Walimu wafikishwa kortini kwa kuvujisha mtihani wa Taifa

Walimu saba na wafanyabiashara wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu mashtaka matatu likiwemo la kuvujisha mtihani wa Taifa wa darasa la saba mwaka 2022. Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo leo Oktoba 19,2022 na wakili wa…

RC Nyerere:Wasioona kupewa huduma stahiki kama wengine

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Charles Makongoro Nyerere amesema serikali itaendelea kushirikiana na watu wenye ulemavu katika kuwapatia huduma zote zinazohitajika kama wengine. Amezungumza hayo katika kongamano la watu wasioona linalofanyika katika ukumbi wa chuo kikuu huria mjini Babati leo…

Majaliwa:Timizeni matarajio ya Rais Samia

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka watumishi wa umma watimize wajibu wao kama ambavyo Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia wafanye pindi anapowateua ama kuwapa ajira. “Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan anataka kuona watumishi wa umma mkiwatumikia Watanzania. Nenda kwa wananchi mkawasikilize….

Mwanasheria Moro ashangazwa mabaraza ya kata kuendesha mashauri bila kuapishwa

Na Severin Blasio,JamhuriMedia,Morogoro Mwanasheria wa Halmashauri ya Morogoro wakili Hella Mlimanazi ameshangazwa kuwepo kwa baadhi ya mabaraza ya kata kwenye halmashauri hiyo kufanya mashauri bila kupata mafunzo sambamba na kuapishwa. Pia baadhi ya mabaraza hayo yamekuwa yakifanya kazi bila kuhuishwa(renew)…