JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Makama ataka halmashauri kuacha kubagua miradi

Na Robert Hokororo,JamhuriMedia Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Dkt. Switbert Mkama ameonesha kutoridhishwa na usimamizi wa Mradi wa Kurejesha Ardhi iliyoharibika na kuongeza usalama wa chakula unaotekelezwa katika Halmashauri ya Nzega mkoani Tabora. Pia ameshangazwa na…

‘Maendeleo ni pamoja na kufanyika mabadiliko ya sheria ya habari’

Na Stella Aron,JamhuriMedia,Dar Wadau wa sekta ya habari wamesema kuwa ili kufikia maendeleo chanya katika sekta hiyo ipo haja ya kufanyika kwa marekebisho ya vifungu vya sheria ya habari kandamizi katika sekta hiyo. Hayo yameelezwa na Sylvester Hanga Mshauri Mfawidhi…