JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Serikali yatenga bil.230/- kuboresha miundombinu ya elimu

Angela Msimbira OR-TAMISEMI Serikali inakamilisha tathmini ya upembuzi yakinifu wa shule zote za msingi kupitia mradi wa kuboresha elimu ya awali na msingi Tanzania Bara (BOOST) ili kuandaa mpango endelevu wa uboreshaji wa elimu ya awali na msingi nchini ….

Mauaji ya watu 12 Lindi yasababisha hofu

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Lindi Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, ameliagiza Jeshi la Polisi kuwakamata mara moja wafugaji waliohusika katika mauaji ya watu 12 Mkoani Lindi. Masauni ametoa kauli hiyo akiwa ameambatana na Waziri wa Mifugo…

Mtatiro alia na ghughuli za kibinadamu

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tunduru Mkuu wa Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma Julius Mtatiro amesema,ni muhimu suala la upandaji miti katika wilaya hiyo liwe endelevu na jambo la mara kwa mara ili kusaidia uhifadhi wa mazingira. Mtatiro amesema hayo,baada ya kuongoza zoezi…

‘Iringa sio soko la wafanyakazi wa ndani’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Iringa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Iringa vijijini (UVCCM), Elia kidavile amewataka wanafunzi wanaohitimu darasa na saba kukataa kwenda kufanyakazi za ndani pindi wanapohitimu elimu ya msingi. Akizungumza kwenye mahafali ya…

TANESCO: Ukame waathiri mabwawa 4 ya umeme

Na Stella Aron,JamhuriMedia Kutokana na ukame unaoikumba nchi, mabwawa ya kuzalisha umeme ya Hale, Kihansi, Nyumba ya Mungu na Pangani yenye uwezo wa kuzalisha megawati 266 za umeme yamepungua uwezo wake na kwa sasa yanazalisha megawati 34 za umeme tu…