JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

TAKUKURU yabaini wagojwa hewa 313 wa VVU Muheza

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Tanga (TAKUKURU), imefanikiwa kudhibiti wagonjwa hewa 313 wa VVU kwenye mfumo wa usajili wa wagonjwa hao wilayani Muheza. Hayo yamebainishwa leo Novemba 2,2022 na Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Tanga Zainabu…

TMA yajipanga kutekeleza mikakati ya utoaji huduma

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA),imeendelea kutekeleza kwa ufanisi majukumu yake iliyopewa na Shirika la Hali ya Hewa Duniani ambapo imejipangia kutekeleza mikakati kadhaa itakayisaidia utoaji huduma za hali ya hewa nchini Hayo yamebainishwa leo Novemba…

Masauni atoa siku 14 wafugaji kuondoka maeneo yasiyoruhusiwa

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amewapa siku 14 Jeshi la Polisi Mkoani Lindi kuwaondoa wafugaji katika maeneo ya ambayo hayajatengwa na Serikali Wilayani Liwale kwa ajili ya shughuli za ufugaji. Waziri Masauni ambaye pia aliambatana…

Tanzania yaongoza kwa idadi kubwa ya nyati Afrika

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dkt. Pindi Chana ametangaza matokeo ya sensa ya wanyamapori iliyofanyika mwaka huu ambapo Tanzania inatajwa kuongoza kwa idadi kubwa ya nyati Barani Barani Afrika kwa kuwa na jumla ya nyati 191,805….