JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Moto mlima Kilimanjaro,Serikali yaipa Wizara maagizo matatu

Serikali imetoa maagizo matatu kwa Wizara ya Maliasili na Utalii na TANAPA katika kukabiliana na changamoto ya moto kwenye maeneo ya hifadhi ikiwemo mlima Kilimanjaro wakati inapojitokeza. Agizo hilo limetolewa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo bungeni Novemba 3,2022 bungeni jijini…

Tanzania,Korea Kusini zaingia makubaliano kuimarisha sekta ya ardhi

Na Mwandishi Wetu SERIKALI kupitia Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeingia makubaliano na Wizara ya Ardhi Miundombinu na Usafirishaji ya Korea Kusini kwa ajili ya kuimarisha sekta ya ardhi. Makubaliano hayo yametiwa saini jana na Waziri wa…

“Watu bilioni 3.6 hatarini kuathiriwa na mabadiliko ya tabianchi duniani’

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu (Muungano na Mazingira), Dkt. Selemani Jafo amesema Tanzania imejiandaa kikamilifu kushiriki Mkutano wa 27 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Kimataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi utakaofanyika Sharm El Sheikh nchini Misri kuanzia tarehe 31…

Mali za viongozi wa umma kuanza kuhakikiwa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, inatarajia kuanza uhakiki wa rasilimali, maslahi na madeni kwa viongozi wa umma 658 watahakikiwa. Hayo yamesewa leo Novemba 2,2022 jijini Dodoma na Kamishna wa Maadili, Jaji wa…

Waokota taka waomba kutambuliwa na Serikali

Na Mussa Augustine,JamhuriMedia,Dar Wananchi wameaswa kuwa na utamaduni wa kuokota taka kwenye maeneo yanayowazunguka na kuzihifafhi sehemu salama ili kusaidia kuepukana na magonjwa ya mlipuko yatokanayo na Uchaguzi wa mazingira. Hayo yamesemwa leo Novemba 2 ,2022 na Afisa Tarafa ya…

Wakufunzi ESP watakiwa kuleta mabadiliko kwenye jamii

Na Elizabeth Joseph,JamhuriMedia,Arusha WAKUFUNZI wa Mpango wa Uwezeshaji kupitia Ujuzi(ESP), unaofadhiliwa na Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na Serikali ya Canada wametakiwa kutumia mafunzo wanayopewa katika kukuza uelewa kwa jamii katika masuala ya…