JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Mbunge Jerry aahidi kutembea pamoja na wanahabari

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Mbunge wa Jimbo la Ukonga,Jerry Silaa,ameahidi kutembea pamoja na wabunge wenzake katika kuhakikisha kuwa sheria zinazobinya sekta ya habari zinakuwa rafiki. Ameyasema hayo Novemba 8, 2022 wakati akizungumza na uongozi wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), na…

‘Watumishi walioharibu miradi na kuhamishwa warejeshwe’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia MKUU wa Mkoa Rukwa Queen Sendiga ameagiza Wakurugenzi wa Mamlaka za serikali za mitaa kuchukua hatua za kuwarejesha watendaji na watumishi wa serikali wanaotuhumiwa kuharibu miradi ya wananchi ili wajibu tuhuma zao. Kauli hiyo ameitoa jana wakati…

Askari Magereza,wafungwa wajeruhiwa

Wafungwa kadhaa wakiwemo askari magereza wawili wamejeruhiwa katika ajali iliyotokea leo Novemba 8, 2022 katika eneo la Kaloleni wilayani Kiteto mkoani Manyara. Mkuu wa Wilaya ya Kiteto,Mbaraka Batenga amethibitisha tukio hilo na kusema kuwa, chanzo cha ajali bado hakijajulikana. Amesema,…

Zanzibar wapigwa msasa kuhusu uzalishaji wa mazao bora ya bahari

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Zanzibar Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi Suleiman Masoud Makame amesema uzalishaji wa matango bahari na uboreshwaji wa zao la mwani unamanufaa makubwa kwa Zanzibar na Nchi za pembezoni mwa ukanda wa Bahari ya Hidi. Waziri Suleiman…

Vikao vya kutatua hoja za muungano havijapoa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imesema vikao vya kupokea na kujadili changamoto za Muungano bado vipo na vitaendelea kuwepo kutokana na umuhimu wake katika mustakabali wa Muungano wetu. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)…

Rais Mwinyi aitaka BOT kuwezesha upatikanaji wa dhamana za mikopo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameitaka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuwezesha upatikanaji wa dhamana za mikopo kwa ajili ya kugharamia miradi mbalimbali ya maendeleo Visiwani. Dkt. Mwinyi ametoa maelekezo hayo alipokutana…