JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Uzinduzi sera ya ubia utaongeza kasi ya maendeleo NHC,Taifa

Na Stella Aron, JamhuriMedia Serikali imeliagiza Shirika la Nyumba la Taifa (NHC),kusimamia imara miradi itakayoingia ubia na wawekezaji ili kutekelezwa kwa ufanisi na tija ili miradi itakayotekelezwa, itekelezwe kwa ufanisi na tija kwa taifa na mwekezaji husika. Hayo yamesemwa na…

‘Walengwa TASAF tumieni fursa ya mkopo kuboresha maisha’

Na Veronica Mwafisi,Kasulu Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deogratius Ndejembi amewataka walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini kuendelea kuboresha maisha yao kwa kutumia fursa ya uwepo wa mikopo ya vikundi ya…

Dkt. Mpango kumwakilisha Rais tuzo za CTI

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Makamu wa Rais Dkt. Phillip Mpango, anatarajaiwa kuwa mgeni rasmi kwenye ugawaji wa Tuzo za Rais kwa Mzalishaji Bora wa Mwaka (PMAYA), zitakazotolewa siku ya Ijumaa. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Makamu…

Waziri Mkuu aitaka NHC kushirikisha wabia wenye uwezo

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amelitaka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kuhakikisha kuwa linachambua na kupitia kwa umakini wawekezaji watakaoleta maombi ya ujenzi wa miradi ya ubia na Shirika hilo ili kupata wawekezaji wenye uwezo wa kukamilisha ujenzi kwa viwango…

Polisi yaonyesha makucha,yawafungia madereva watano leseni

Na Abel Paul – Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha katika kuhakikisha linakomesha matukio ya ajali kuelekea mwisho wa mwaka limeendelea kutoa elimu kwa madereva na kuwafungia leseni za udereva watano kwa makosa mbalimbali. Akitoa taarifa hiyo…