JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Tume ya utumishi ya Mahakama yakutana na kamati za maadili Shinyanga

Tume ya Utumishi ya Mahakama imekutana na wajumbe wa kamati za maadili ngazi ya Mkoa na wilaya mkoani Shinyanga, kujadili maadili na utoaji haki kwa wananchi. Mkutano huo umefanyika leo Novemba 22, 2022 katika ukumbi wa mikutano Mahakama kuu ya…

Kasi ndogo ujenzi wa madarasa yamchefua Kairuki

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Tabora Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki ameonesha kukerwa na kasi ndogo ya ujenzi wa madarasa katika Mkoa wa Tabora. Kairuki amekutana na kadhia hiyo leo wakati wa…

Mwanaume afariki ndani ya bwawa Njombe

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mwanaume mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 30 mpaka 35 amekutwa amefariki katika bwawa dogo lililopo katika msitu wa Tanwat eneo la Kibena Mjini Njombe. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo ambao ni walinzi katika…

Bodaboda kizimbani akituhumiwa kumbaka binti yake wa miaka 11

Dereva wa bodaboda Idrisa Said Bayaga (32) wa kituo cha waendesha pikipiki cha Nyerere Mtaa wa Kawajense Manispaa ya Mpanda, Mkoa wa Katavi, amefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kushiriki tendo la ndoa na mtoto wake mwenye umri wa 11. Mtuhumiwa…

Ujenzi daraja la kisasa Jangwani kuandika historia mpya

SERIKALI imesaini makubaliano na Benki ya Dunia ya Mkopo Nafuu wa sh. Trilioni 1.24 kwa ajili ya miradi ya umeme vijijini na ujenzi wa uendelezaji wa bonde la Mto Msimbazi utakaohusisha daraja la kisasa la Jangwani. Ujenzi wa daraja la…

Rais Samia kuzindua mradi wa Vihenge Babati

Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anatarajia kufungua mradi wa Vihenge nane mjini Babati wenye uwezo wa kuhifadhi tani 25,000 za mazao. Akitoa taarifa hiyo afisa mtendaji wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) Milton…