JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Wadau Marekani Kuupaisha muziki wa Tanzania kimataifa

Seattle, Washington State, Marekani Muziki na sanaa nyingine za Tanzania vitapata fursa nyingine muhimu kuzidi kupaa na kujinadi kimataifa kufuatia mazungumzo yaliyofanyika kati ya wawakilishi wa Serikali ya Tanzania na wadau wa sanaa katika mji wa Seattle nchini Marekani. Mazungumzo…

Auawa kwa kukatwa mapanga mkoani Shinyanga

Mwanamke mmoja (50),Mkazi wa Kitongoji cha Mwamboku Kata ya Kashishi Wilaya ya Kipolisi Msalala Mkoani Shinyanga,Sele Luchagula, ameuawa na watu wasiojulikana akiwa anakula kwa kukatwa mapanga sehemu mbali mbali za mwili hali iliyopelekea kupoteza maisha papo hapo.Mauaji hayo yametokea Novemba…

Rais Samia Ziarani Mkoani Manyara

Rais Samia akiwa ziarani mkoani Manyara kwa siku ya pili leo ametembelea na kukagua mirandi mbalimbali ya kimaendeleo pamoja na kuzungumza na wananchi wa mkoa huo

Tanzania kuzidi kunufaika na miradi ya WIPO

Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Umoja wa Mataifa na Mashirika ya Kimataifa Jijini Geneva Uswisi, Mhe. Balozi Maimuna Tarishi amesema kuwa Tanzania inaendelea kunufaika na miradi mingi ambayo hutolewa na Shirika la Miliki Ubunifu Duniani (WIPO). Kauli hiyo aliitoa…

Ronaldo afungasha vilago Manchester United

Manchester United imethibitisha kuwa Cristiano Ronaldo ameondoka katika klabu hiyo kwa mara ya pili baada ya mkataba wake kuvunjwa na kutekelezwa mara moja kwa ‘makubaliano ya pande zote’. Hiyo inakuja siku chache baada ya mahojiano yaliyoonekana kuwa ya kichochezi ambayo…

Mwakibete mgeni rasmi uzinduzi TTMOA

Na Mussa Augustine,JamhuriMedia  Naibu Waziri wa ujenzi na Uchukuzi Atupele Mwakibete, anatarijiwa kuwa mgeni Rasmi katika uzinduzi wa Chama Cha Wamiliki wa Matipa na Mitambo Tanzania ( TTMOA) Novemba 25 mwaka huu  Jijini Dar es Salaam. Hayo yamesemwa na  Mwenyekiti…