JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Waziri Mabula asikitishwa na watendaji sekta ya ardhi Iringa

Na Munir Shemweta,JamhuriMediaIringa Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amesikitishwa na watendaji wa sekta ya ardhi katika halmashauri za Manispaa na Wilaya ya Iringa kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo na kusababisha halamshauri hizo kushindwa kukusanya…

Haya hapa matokeo darasa la saba 2022

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) leo Desemba 1, 2022 limetangaza matokeo ya darasa la saba kwa mwaka 2022 ambapo limetangaza kufuta matokeo yote ya Watahiniwa 2194 sawa na asilimia 0.16 ya Watahiniwa 1,350,881 waliofanya mtihani ambao wamebainika kufanya udanganyifu…

Matokeo ya darasa la saba yatangazwa, vituo 24 vyafungiwa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), limetangaza matokeo ya darasa la saba ya mwaka huu ambapo watahiniwa milioni 1.07 wamefaulu kwa kupata madaraja A na B na C. Akitangaza matokeo hayo leo Desemba 1, 2022 Kaimu Katibu Mtendaji…

Tuache siasa, bandari yetu ni dhahabu

Na Deodatus Balile,JamhuriMedia,Dubai Wiki iliyopita nimepata fursa ya kusafiri kwenda Dubai. Nimetembelea maeneo kadhaa, ila moja ya maeneo hayo ni bandari tatu zinazoendeshwa na Kampuni ya DP World. Kampuni hii inamilikiwa na familia ya mfalme anayetawala Dubai. Kwa Dubai, kampuni…

Rais Samia awapa maagizo Vyuo vikuu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa Vyuo Vikuu kupitia mitaala yake ili ijikite katika kutoa elimu ambayo inakidhi mahitaji ya jamii. Rais Samia ametoa wito huo leo mara baada ya kutunukiwa Shahada…

Idadi ya wagonjwa yaongezeka Mlongazila

Idadi ya wagonjwa wanaofika kupata huduma ya matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila imeongezeka kutoka 10854 kufikia 11188 kwa wagonjwa wa nje wakati wagonjwa wanaolazwa 793 hadi 1052 katika kipindi cha miezi miwili kuanzia Septemba hadi Novemba mwaka huu….