JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

‘Maambukizi ya UKIMWI Ruvuma yapo juu’

Na Albano Midelo,JamhuriMedia, Ruvuma MKOA wa Ruvuma kwa mwaka 2022 unakadiriwa kuwa na zaidi ya watu 63,088 wanaoshi na Virusi vya UKIMWI.Haya yamesemwa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dkt.Lous Chomboko wakati anatoa taarifa kuhusu ugonjwa wa UKIMWI kwenye…

‘Kila mwezi PSSSF inaingiza kwenye mzunguko zaidi ya sh. bilioni 180’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) tayari umewalipa wanachama 750 waliokumbwa na sakata la vyeti “feki”, baada ya kuwasilisha madai yao na nyaraka stahiki. Akizungumza wakati wa kikao kazi na wanachama wapatao 60…

Ndege ya ATCL yashikiliwa Uholanzi

Serikali imekiri kushilikiwa kwa ndege Airbus A220 tangu Januari kwenye kiwanja cha ndege cha Maastricht Aachen nchini Uholanzi. Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk Eliezer Feleshi amesema kuwa ndege inashikiliwa baada ya mwekezaji wa Kiswidi kushinda tuzo ya dola za kimarekani…

Kiwango cha maambukizi ya ugonjwa Ukimwi Pwani chapungua

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani  Kiwango cha maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi na vifo vitokanavyo na ugonjwa huo ,mkoani Pwani kimeshuka kutoka asilimia 5.9 hadi kufikia asilimia 5.5. Akitoa hali ya kiwango Cha maambuzi ya ugonjwa huo, katika maadhimisho ya siku ya Ukimwi…

Brrick Bulyanhulu yaungana na Serikali kuadhimisha siku 16 za kupinga ukatili

Mgodi wa Barrick Bulyanhulu uliopo mkoani Shinyanga umeungana na Serikali na wadau wengine kuadhimisha siku 16 za kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia ambapo umeandaa kampeni ya kutoa elimu dhidi ya vitendo hivyo katika shule za msingi na sekondari zilizopo…