JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Ujenzi bandari kavu ya Kwalala utarahisisha utendajikazi bandari ya Dar

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Uchukuzi), Bw. Gabriel Migire amesema kufikia Januari, 2023 Bandari kavu ya Kwala iliyopo mkoani Pwani itaanza kuhudumia mizigo itakayotoka Bandari ya Dar es Salaam na kuelekea mikoa…

Nyumba ya mwandishi wa habari yapigwa mnada kufidia deni la mil.5.2/-

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar “Nilikuwa Dodoma kwenye kazi za uandishi wa habari ghafla nikapigiwa simu na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kichangani, Kata ya Kinyerezi Wilaya ya Ilala kuwa nyumba yangu inapigwa mnada kwa sh.milioni 30 ili kufidia deni…

Wanaohujumu mitihani kushughulikiwa

Na Mathias Canal,JamhuriMedia,Dar Serikali imeweka bayana dhaira yake ya kuchukua hatua kali za uwajibikaji kwa Maafisa Elimu wa Mikoa, Wilaya, Walimu na maafisa wengine wote wakiwemo askari ambao wamepewa jukumu la kusimamia mitihani. Hatua hizo dhidi ya wasimamizi hao wa mitihani zitahusisha…

NMB yaongoza tuzo ya mwajiri bora

BENKI ya NMB imetangazwa kuwa Mwajiri bora wa mwaka 2022 katika hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma. Benki hiyo mbali na kushinda Tuzo ya mshindi wa jumla…

Mabehewa SGR yamuibua Kigwangala

Mbunge wa Nzega kupitia Chama Chama you Mapinduzi (CCM), Hamis Kigwangala, ameibua mjadala juu ya mabehewa ya SGR yaliyonunuliwa na Serikali na kuingizwa nchini hivi karibuni kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRC). Kupitia ukurasa wake katika mtandao wa Twitter Kigwangala…

TARURA Ruvuma yafungua barabara na madaraja

Na Albano Midelo,JamhuriMedia, Ruvuma Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Ruvuma imefanikiwa kujenga madaraja mawili yenye thamani ya shilingi bilioni 1.3. Meneja TARURA Mkoa wa Ruvuma Mhandisi Wahabu Nyamzungu amesema serikali imetoa shilingi milioni 900 kujenga…