JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Mradi wa shule bora kuleta matokeo chanya katika sekta ya elimu nchini

Na Mwamvua Mwinyi,Pwani Waandishi wa habari wameaswa kutumia nguvu ya kalamu zao kuandika taarifa za mradi wa Shule Bora ,mpango ambao unalenga kuweka mikakati na kutafuta suluhisho kwa watoto wa makundi maalum ,wakike na wale wa kiume wanapata elimu iliyo…

Kenya yapiga marufuku wazazi kuwapeleka watoto shule za msingi za bweni

Kenya imetangaza kuwa kuanzia mwaka ujao hakutakuwa na shule ya bweni kwa watoto wa shule za msingi na wazazi wanapaswa kuwapeleka watoto wao shuleni asubuhi. Hii ni kwa ajili ya kutaka watoto wawe karibu sana na wazazi wao kwa suala…

Mkurugenzi Karagwe amshukuru Rais Samia kwa ujenzi wa madarasa,hospitali

Na David John,JamhuriMedia Mkurugenzi Mtendaji wa Halmadhauri ya Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera Michael Nzyungu amempongeza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha nyingi kwenye halmashauri hiyo kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shule mbalimbali za…

Ahukumiwa kunyongwa kwa kosa la kumnyonga mke na mtoto

Na John Walter,JamhuriMedia,Manyara Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Manyara imemuhukumu Shamswadini John (35), mkazi wa Hanang mkoani Manyara, maarufu kama Sikukuu kunyongwa hadi kufa baada ya kukutwa na hatia ya kuua kwa kukusudia ambapo amemuua mke wake aitwae Asia…

Mafia yaadhimisha miaka 61 ya Uhuru kwa kupanda miti

Mkuu wa Wilaya ya Mafia Mhandisi Martin Ntemo ameongoza wananchi kuamua kuadhimisha sherehe za miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania Bara kwa kupanda miti na kushiriki kwenye Kongamano ambalo lilikuwa maalum kujadili changamoto mbali mbali zinazowakabili walimu wanawake pindi wanapotekeleza…

UNHCR COMMEMORATES DAFI’S 30TH ANNIVERSARY

************************** UNHCR, the UN Refugee Agency, commemorated the 30th Anniversary of the AlbertEinstein German Academic Refugee Initiative (DAFI) Scholarship Programme thatcommenced in 1992. The programme benefits more than 22,500 refugee students from 55 countries, including Tanzania. On 6 December 2022,…