JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

IGP Wambura ataka kufichuliwa wanaofanya vitendo vya ukatili

Na A/INSP Frank Lukwaro Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura amewataka Watendaji wa Dawati la Jinsia na Watoto kutoa huduma bora kwa wahanga wa vitendo vya ukatili wanaoripoti matukio ya ukatili katika vituo vya Polisi ili kujenga…

Nchi 15 zakutana kujadili usalama wa mazingira baharini

Na Aziza Nangwa,JamhuriMedia Nchi 15 kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika zipo nchini, kushiriki kongamano la kutoa uelewa mpana juu ya mkataba wa kimataifa kwenye suala zima la kulinda mazingira ya bahari yaweze kuwa endelevu kwa viumbe wa majini. Akizungumza mara…

Afrika Mashariki wahimizwa kutumia bidhaa za ndani

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Riziki Pembe Juma ametoa wito kwa wananchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kujivunia na kutumia bidhaa zinazozalishwa katika Jumuiya ili kuijenga Afrika Mashariki yenye uchumi…

Waziri Mkuu azindua kiwanda cha kuchakata maziwa Nsimbo
 

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezindua kiwanda cha kuchakata maziwa cha MSS kilichopo Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo, Mkoani Katavi ambacho kina uwezo wa kusindika wastani wa lita 10,000 kwa saa. Akizungumza baada ya kuzindua kiwanda hicho ambacho uwekezaji wake umegharimu…

Polisi yawaonya wanaopandisha bei za nauli za mabasi Arusha

Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha kupitia Kupitia kikosi cha usalama barabarani mkoani humo limewaonya baadhi ya mawakala wanaopandisha nauli kiholela kipindi hiki cha mwisho wa mwaka kuwa halitowafumbia macho mawakala na wamiliki…

Waziri Majaliwa aagiza TAKUKURU kuichunguza MUWASA Katavi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Mkoa wa Katavi awachunguze watumishi wawili akiwemo Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Mazingira Mpanda (MUWASA), Hussein Nyemba kwa tuhuma za kukiuka taratibu za…