JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Dkt.Gwajima awaasa wanawake kupaza sauti kupinga ukatili

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Mafia Wanawake nchini wameaswa kujiamini kwa kupaza sauti zao ili kukabiliana na wimbi la vitendo vya ukatili vinavyowakabili. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake, na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima alikutana na wananchi wa Kata ya…

Nsokolo: Tangu rais aingie madarakani amekuwa rafiki wa wanahabari

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Imeelezwa kuwa kitendo cha Serikali ya Awamu ya Sita kukaa meza moja na kujadili mchakato wa mabadiliko ya sheria ya habari nchini,kumeonyesha dhamira njema katika kufanikisha maendeleo ya sekta ya habari nchini. Hayo yamesemwa na Rais Muungano…

Majaliwa awataka watumishi Mlele wahamie kwenye nyumba za Serikali

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza watumishi wa Halmashauri ya wilaya Mlele wahamie mara moja kwenye nyumba 11 zilizokuwa za wajenzi wa barabara ya Inyonga-Mlele na kukabidhiwa kwa Halmashauri hiyo. Watumishi ambao ameagiza wahamie kwenye nyumba hizo ni Afisa Usalama wq…

Mwangamilo awatembelea wahanga wa ajali ya pikipiki hospitali

Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikiana na viongozi wa madereva wa pikipiki mkoani humo wamewatembelea wahanga wa ajali za pikipiki na vyombo vingine vya moto katika Hospitali ya…

Ndejembi:Likizo kwa watumishi wa umma nyakati za sikukuu zisiwe kikwazo

Na Veronica Mwafisi,JamhuriMedia Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema likizo za mwaka kwa watumishi wa umma katika kipindi cha sikukuu zisiwe kikwazo cha kutoa huduma kwa wananchi. Akizungumza na Watumishi…

Jafo ataka majengo yawekwe mfumo wa kuvuna maji ya mvua

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira),Dkt. Selemani Jafo ameelekeza majengo yote ya Serikali yanayojengwa katika eneo la Mtumba jijini Dodoma kuwekwa amfumo wa kuvuna maji ya mvua kuepusha athari za kimazingira. Ametoa maelekezo hayo alipofanya…