JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Maafisa ugani watakiwa kujitathmini kwa kuwafikia wafugaji

Na Edward Kondela,JamhuriMedia,Tabora MAAFISA Ugani wametakiwa kujitathmini na kuhakikisha wanafanya kazi kwa kufuata weledi na kushirikiana na wafugaji ili wafugaji hao wafuge kibiashara pamoja na kutokomeza migogoro ya ardhi kati ya wafugaji na wakulima. Mkuu wa Wilaya ya Nzenga Mkoani…

Ndejembi akemea tabia ya watumishi Ilala kujihusisha na wizi

Na. Veronica Mwafisi,JamhuriMedia NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deogratius Ndejembi amekemea tabia ya baadhi ya watumishi wa umma nchini kujihusisha na vitendo vya wizi ambavyo vinakwenda kinyume na dhamira ya Rais wa…

Adaiwa ‘kumloga’ DC asitumbuliwe

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Chamwino Mwenyekiti wa Kijiji cha Mpwayungu, Chamwino mkoani Dodoma, Gabriel Hoya, amekana tuhuma za kwenda mkoani Tanga kutafuta ‘dawa’ kuzuia ‘asitumbuliwe’. Tuhuma hizo zimetolewa baada ya Hoya kutoonekana kwenye mkutano wa hadhara ulioitishwa na Mkuu wa Wilaya ya…

Watuhumiwa kesi za ubakaji 223 waenda jela miaka 30

Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema kwa kushirikana na Ofisi ya Taifa ya Mashitaka limewafikisha mahakamani watuhumiwa 270 kwa makosa ya ubakaji na watuhumiwa wawili kati yao wamefungwa kifungo cha maisha jela…

TARURA Kibaha yapendekeza bilioni 59.3/- kwa ajili ya miradi ya barabara

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Kibaha WAKALA wa barabara mijini na Vijijini (TARURA) wilaya ya Kibaha , mkoani Pwani imependekeza jumla ya sh.bilioni 59.3 kwa ajili ya kugharimu miradi 26 ya maendeleo ya barabara katika kipindi cha kwa mwaka 2023/2024. Kaimu meneja TARURA…