JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Mama aua wanae wawili kisha ajinyonga

Na Cresensia Kapinga, Songea Amina Maketu (34), mkazi wa eneo la Namanditi Kata ya Lilambo katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma amewaua watoto Wake wawili mmoja kwa kumnyonga na mwinginekwa kumpiga na kitu kizito kichwani kisha na yeye…

Watanzania watakiwa kumuenzi Bibi Titi kwa mchango wake katika ukombozi wa taifa

Na Mwamvua Mwinyi, Rufiji Watanzania wametakiwa kuenzi juhudi za muasisi wa Taifa letu Bibi Titi Mohammed ambae alishiriki kumkomboa Mwanamke na kumng’oa mkoloni kwa maslahi ya Taifa na vizazi vijavyo. Akimuelezea hayati Bibi Titi wakati wa Kongamano la kumuenzi muasisi…

Watu watatu waliojifanya maofisa wa serikali na kughushi nyaraka wakamatwa Pwani

Na Mwamvua Mwinyi,Pwani Jeshi la Polisi Mkoani Pwani linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kujifanya maofisa wa serikali na kutengeneza nyaraka za kughushi ili kusajili vijana wapate ajira idara ya Maliasili na Utalii. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake…

Majaliwa: Sijaridhishwa na miradi ya afya Sumbawanga

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema hajaridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa miradi ya Hospitali ya Manispaa ya Sumbawanga na Kituo cha Afya cha Matanga mkoani Rukwa ambapo tayari Serikali imeshatoa zaidi ya shilingi bilioni mbili. Hivyo, Waziri Mkuu amemuagiza Mkuu…

Maajabu;Mchungaji afariki akiwa kwenye maombi,alitarajia kufufuka Desemba 8

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Abdel Raphael (42), mkazi wa Mtaa wa Uwanja Halmashauri ya Mji Geita,Mkoa wa Geita amekutwa amefariki ndani kwake akiwa kwenye mfungo wa siku 30 akitarajia kufufuka Desemba 8,2022. Akizungumzia tukio hilo mmoja wa waumini wake Kanyasi John…