JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

TFS yawataka wananchi kutunza mazingira

KAMISHINA wa Uhifadhi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Prof. DoS Santos Silayo amewata wakulima kulima na kutunza mazingira ili kuendelea kupata mvua za kutosha. Ni katika Kongamano la Wahariri na Wadau wa Uhifadhi, Mazingira na Utunzaji wa…

Serikali yatakiwa kufanya maamuzi magumu kuliokoa bonde la Ihefu

Na Stella Aron, JamhuriMedia, Iringa Serikali imetakiwa kufanya maamuzi magumu ili kuokoa chanzo cha maji cha Bonde la Ihefu ambalo limevamiwa na familia 12 na kusababisha chanzo hicho kukauka. Akizungumza katika Kongamano la Wahariri wa Wadau wa Uhifadhi Mazingira na…

Ujazaji maji bwawa la umeme JNHPP mbioni kutegua kitendawili cha muda mrefu

Na Zuena MsuyaJamhuriMedia, Pwani Waziri wa Nishati, January Makamba amewaeleza watanzania kuwa zoezi la kuanza kujaza maji katika Bwawa la kufua Umeme la Julius Nyerere (JHPP) litaanza tarehe 22 Desemba 2022 na kushuhudiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…

Nape: Mabadiliko sheria huduma ya habari kufanyika 2023

Na Mwandishi Wetu.JamhuriMedia Wadau wa sekta ya habari wamehakikishiwa kuwa mabadiliko ya sheria ya huduma ya Sekta ya habari yanakwenda kufanyika Januari 2033. Hayo yamesemwa leo Desemba 17, 2022 na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye…

Balile: Sheria ikirekebishwa uhuru wa habari utapatikana

Na Mwandishi Wetu,Jamhurimedia Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF),Deidatus Balile, amesema, licha ya kuwepo kwa uhuru wa habari nchini, ameomba uhuru huo ulindwe kisheria. Akizungumza katika Kongamano la Kwanza la Maendeleo ya Sekta ya Habari leo tarehe 17 Desemba…

Rushwa ya ngono bado tatizo vyumba vya habari

Na Mwandishu Wetu Imeshauriwa kuwa katika kupunguza kama si kumaliza kabisa rushwa ya ngono katika vyumba vya habari ni vvyema kukawa na dawati la jinsia. Kauli hiyo imetolewa na baadhi ya wahariri wa vyombo vya habari kwenye mkutano uliofanyika tarehe…