JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Nchi ipo salama mikononi mwa Rais Samia’

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Lailah Ngozi, amewataka Watanzania kuendelea kumwamini Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwa, nchi ipo kwenye mikono salama. Ametoa kauli hiyo ikiwa ni siku moja…

HaloPesa yazindua “Shinda Tena na Halopesa’

Na Mwandishi Wetu HALOTEL ikiwa kampuni inayosifika nchini kupitia huduma zao za kifedha za HaloPesa, inaendelea kuwahamasisha wateja wao kwa kuleta huduma za ubora na zenye ubunifu, na wakizindua kampeni ya Shida Tena na Halopesa leo. Wakiwa kampuni inayokua kwa…

Radi yaua mwanafunzi,familia 16 zakosa mahali za kulala

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Njombe Mwanafunzi wa kidato cha pili shule ya sekondari Mgalo iliyopo mkoani Iringa Carister Haule(15),mkazi wa kijiji cha Lifua, wilayani Ludewa mkoa wa Njombe, amefariki dunia kwa kupigwa na radi wakati akifungulia mbuzi chini ya mti. Mbali ya…

Lengo la Rais Dkt.Samia kuhusu uzalishaji wa mbolea latimia

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema lengo la Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan la kuhakikisha mbolea ya kutosha inazalishwa nchini badala ya kutegemea kuagiza nje limetimia baada ya kiwanda cha mbolea cha Itracom…

TAKUKURU yatakiwa kuitangaza mikoa iliyokithiri kwa rushwa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama,ameitaka Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) kufanya tathimini ya Rushwa katika mikoa kisha kuitangaza mikoa itakayobainika kuongoza kwa…